mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yaaani subirini uchaguzi wa Marekani upite, nchi hii itawekewa vikwazo mpaka basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yaaani subirini uchaguzi wa Marekani upite, nchi hii itawekewa vikwazo mpaka basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu uko road ya wapi una kinukisha?Yaaani subirini uchaguzi wa Marekani upite, nchi hii itawekewa vikwazo mpaka basi
Wewe si ni CCM mbona unamsuta mwenzio?Una roho ngumu.
Unaweza ukapelekwa jehanamu huku unapiga makofi ya furaha.
Hongera kwa hili.




Wewe si ni CCM mbona unamsuta mwenzio?
Mulioangusha upinzani ni ninyi. Kura hampigi kazi kulalama.Yaaani subirini uchaguzi wa Marekani upite, nchi hii itawekewa vikwazo mpaka basi
CCM IPO madarakani mpaka 2100
Jidanganyeni hivyo hivyo wakati moto unakuja.Hii ni nchi huru,
Maneno ya mkosajiJidanganyeni hivyo hivyo wakati moto unakuja.
Hii ni dunia jomba! Kuna kanuni za pamoja lazima zifuatwe ndio maana kina Gabgo walijikuta The Hague. Au unadhani nchi zao sio huru? Wapi Albashiri? Wako wapi kina Taylor?