Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

Aliwakosea nini ikulu?
 
Huyu mzee atupeleke alipozika kizizi maana wanamuondoa anakaa kidogo wao wenyewe wanamrudisha. Sometimes shule inalipa na ukiwa smart kwamukichwa.
 
Yaan mi nikajua anafukuzwa kabsa kumbe anatolewa kwenye ugali anapelekwa kwenye mboga... Anyway I love my country
Dr. Mataragio ame"survive" TPDC kwa bahati, kwa vile alipoenda pale waliyokuwepo walimwekea chuki, kwa nini atoke mtu nje wakati wao wapo. Hii ilifanya asukiwe kesi, alipopona na kurudishwa alioondolewa na mama kwa siku mbili na nafasi yake akapewa kada wa CCM alieduma siku moja kazini na Mataragio kurudishwa tea. Baadaye aliondolewa na mama na kua,biwa atapangiwa kazi ngingine. Nchi yetu ina pesa za kupoteza Kum,buka safari zote huyu bwana amekaa kando alikuwa analipwa au alilipwa mshahara. Sasa amerudi tena, hopefully atastaafia hapo.
 
Huyu mzee atupeleke alipozika kizizi maana wanamuondoa anakaa kidogo wao wenyewe wanamrudisha. Sometimes shule inalipa na ukiwa smart kwamukichwa.
Uliwahi kuusikia msemo "una bahati kama mtende"? Huyu Bwana ni Mtende (Watende kwa kawaida ni watu wa Mara yakijumuishwa makabila ya Wakurya, Waikizu, Wazanaki, Wangoreme, Wanatta, Waisenye, Waikoma....) Basi hii ndiyo aliyonayo bahati huyu Mtende (Mongoreme).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…