much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Sasa biteko kapwaya wapi?Ina maana Biteko hamuoni kama kapwaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa biteko kapwaya wapi?Ina maana Biteko hamuoni kama kapwaya?
Jamaa yupo kwenye mfumo hatoki ni vijana wa Msoga na RostamView attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Disemba 2014, Dkt. James Mataragio aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC
August 2016 alisimamishwa kazi na Bodi ya Wakurugenzi ya TPDC
Julai 2019 Rais Magufuli Aliagiza arejeshwe kazini
Aprili 4 2021 alitolewa TPDC nafasi ikachukuliwa na Thobias Mwesiga.
Aprili 5 2021 aliteuliwa tena kuwa Mkurugenzi TPDC.
Februari 2023 alitolewa TPDC nafasi yake ikachukuliwa na Mohamed Makame na taarifa ilisema atapangiwa kazi nyingine.
Februari 2024 ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Wizara ya Nishati.
Kalemani aliwaweza sn hawa wajingaMwingine nani acheni utetezi wa kijinga enzi zile za mkono wa Chuma TANESCO walikua tumbo joto hawakua wakikata umeme hata KIDOGO hadi tukasahau suala la umeme kukatika yaan hawa wanahitaji mtu mwenye karba hio mtu wa kuwaendesha kibabe kibabe tu undava undava ukizingua unapigwa chini ndio wananyooka ukiondoa wa kwanza akiingia mwingine akazingua ukimuondoa akiingia mwingine akazingua ukimuondoa kuna mmoja ukimweka lazima atagundua wapi kuna tobo na kuliziba mara moja Ila hawa wahuni wame-relax kuna tobo alafu wame-relax tu hawalizibi sababu wanajua hawana mtu wa kuwatia tumbo joto
Teua tengua hamisha ndiyo kazi zake kuuDaaaah kwake KIZIMKAZI anaona kafanya bonge moja la KAZI.
Akuna
1.Maji Kwa DAR
2.Sukari
3.Umeme.
Anacho weza yy pale magogoni ndio icho tu.
Kutengua na kuteua
Dili za akina Rostam Azizi ndiyo maana maza kutwa kambeba mgongoni kila sehemu nje ya nchikipara kaweka makafara yake pale mpaka atake mwenyewe ila na jenereta zinatoka mbona watabadilishwa sana!
Fupa gumu ni PMU (Procurement) ya nchi hii!! Matatizo yanaanzia huko!fupa gumu sana linahitaji uchizi kudeal
Alipoondolewa tu ndio ushenzi ukaanzia hapo ni mwendo kuzuazua tu mara hivi mara vile, futa wote bodi nzima ya wakurugenzi iondoke imeshindwa kaziKalemani aliwaweza sn hawa wajinga
Makamba aliiua TANESCO matokeo yake kaenda kufichwa kule mambo ya nje apige dili za njeAlipoondolewa tu ndio ushenzi ukaanzia hapo ni mwendo kuzuazua tu mara hivi mara vile, futa wote bodi nzima ya wakurugenzi iondoke imeshindwa kazi
Hata wewe ukiteuliwa huwezi kufanya chochote maana muda wote ni kufuata maelekezo ya wakubwa na siyo kufanya ubunifu wowoteMuda wote aliokaa pale TPDC Mataragio hakuweza ku-transform shirika kuwa na matarajio yoyote yenye tija!
Hakuna jipya hata anakokwenda!
Kumbe alikua kirusi?Makamba aliiua TANESCO matokeo yake kaenda kufichwa kule mambo ya nje apige dili za nje
Hukuwepo bongo?Kumbe alikua kirusi?
Hebu tuambie kwa ujuzi alionao pale TPDC kwa miaka yote alifanya nini!Kwa wanaomfahamu Dr. Mataragio watakubaliana nami kwamba ataitendea haki nafasi hiyo kutokana na ujuzi alionao katika sekta ya nishati. Kila la kheri Dr.
Nilikuepo Bongo, ndio ninaona mauzauza kibao mpaka leoHukuwepo bongo?
Watu wanapiga pesa haswa, kununua nyumba ya bilioni 16 Masaki siyo mchezoNilikuepo Bongo, ndio ninaona mauzauza kibao mpaka leo
Nani huyo kanunua nyumba ya billion 16 Masaki?Watu wanapiga pesa haswa, kununua nyumba ya bilioni 16 Masaki siyo mchezo
Ndiyo faida ya roho mbayaYaani nyie wajaa laana kila kitu kumtwisha Magufuli
Embu tuambie nini alishindwa kufanya akiwa TPDC?Muda wote aliokaa pale TPDC Mataragio hakuweza ku-transform shirika kuwa na matarajio yoyote yenye tija!
Hakuna jipya hata anakokwenda!