Huo ndo ukweli. Mataragio alitumbuliwa miezi michhe tu baada ya JPM kuingia madarakani. Baadae nadhani JPM akafahamu kwamba yalikuwa majungu tu ndipo akamrudisha tena TPDCYaani nyie wajaa laana kila kitu kumtwisha Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweli. Mataragio alitumbuliwa miezi michhe tu baada ya JPM kuingia madarakani. Baadae nadhani JPM akafahamu kwamba yalikuwa majungu tu ndipo akamrudisha tena TPDCYaani nyie wajaa laana kila kitu kumtwisha Magufuli
Mbona alikuwa TPDC hadi Samia mwenyewe ndio akamuondoa?Naona mwamba karudi tena kitini baada ya kuharibiwa CV yake na wapika majungu wa CCM, JK alimtoa USA huyu jamaa akamleta TPDC kabla ya kuzinguliwa na JPM kisa mshahara wa 35m.
Tanesco ni fupa gumu sana linahitaji uchizi kudeal nalo, ukileta theory linakuaibisha mchana kweupe.
Nenda Kitengo Park upondicho anachokiweza
Mvuti hakuna umeme mda huu
ah viwanja vya chanika naona jau, mie siye mnywaji na hawana misosi paleNenda Kitengo Park upo
CCM na serikali yake hakuna aliye nafuu. Ni total system collapse! Huwezi kujua ni yupi nafuu au ni yupi mbaya. Haya ni matokeo ya chama kimoja kukaa madarakani kwa muda mrefu na kujisahau. Hii ni kama kanuni ya asili na tusitegemee tena kuwa CCM itakuja kuwa afadhali bali itaendelea kuwa mbovu. The only way is to neutralize it.Ina maana Biteko hamuoni kama kapwaya?
Kwa mara ya kwanza aliondolewa 2016 akarudishwa tena 2019Mbona alikuwa TPDC hadi Samia mwenyewe ndio akamuondoa?
Huyo kwa elimu yake kutegemea ajira za ccm atakua popoma...heri arudi zake nje kufanya kazi,level yake sio kua naibu katibu mkuu.View attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Yaan mi nikajua anafukuzwa kabsa kumbe anatolewa kwenye ugali anapelekwa kwenye mboga... Anyway I love my countryView attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Na Bado hatujasema n mpaka dj suluhu aamue mwenyew kuzima mziki Atupumzishe kdg Wana daslamDaaaah kwake KIZIMKAZI anaona kafanya bonge moja la KAZI.
Akuna
1.Maji Kwa DAR
2.Sukari
3.Umeme.
Anacho weza yy pale magogoni ndio icho tu.
Kutengua na kuteua
Hamuoni yeye anaona kukwatwa umeme fresh TU yaan TANESCO wakikata umeme wiki 1 mfululizo asubuhi mchana na usiku bila kuwasha mwanga km wanavyofanyaga DAWASA kukata maji hata wiki 3 mpaka Mwezi watu wanaishi bila maji hapo ndio wataelewa watanzania ni watu wa aina gani, tutaenda kuwachomoa kwenye Ofisi zao mmoja mmojaIna maana Biteko hamuoni kama kapwaya?
This government n Kam inamfumo wa kinship watu wanazungula humo miaka nenda rud mpaka wafe then relatives zao ndio waje washke usukan Tena so nimulemule until death do them apartWasira aeanza kua mkuu wa mkoa wa Mara mwaka 1971, leo ni miaka 53 bado ni mtumishi wa umma.
View attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Yaan mi nikajua anafukuzwa kabsa kumbe anatolewa kwenye ugali anapelekwa kwenye mboga... Anyway I love my country