Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

Wasira aeanza kua mkuu wa mkoa wa Mara mwaka 1971, leo ni miaka 53 bado ni mtumishi wa umma.
Umeona sasa kasheshe hiyo?

Huyu Mzee ataendelea kuchukua balón Dior mpaka pale anapoamua kustaafu mwenyewe
 
Yani hapo ndio nashindwa kuelewa kwanini kwenye nchi yenye population ya watu zaidi ya milion 60

Linapokuja swala la teuzi wanaopewa nafasi ni walewale ambao tayari wapo kwenye vitengo vingine

Utaskia Steven wasila kateuliwa kuwa mkuu wa idara fulani. Huyu jamaa tangu kipindi cha Nyerere anateuliwaga tu.

Hii nchi hii we acha tu
Tatizo la nchi yetu wanasiasa ni vigumu kufanya mambo mengine nje ya siasa.
Wakiachwa wanakuwa wasumbufu kwa serikali. Nchi nyingine watu wakitenguliwa wanaweza kuandika vitabu, kuwa wachambuzi na kufanya mambo mengine mengi binafsi.
 
Yaani Wanazungushwa wale wale walioshindwa
Ahahahahaha! Ila haushangai kwa Chadema kubaki na Mwenyekiti Taifa miaka yote tangu 2002! Ahahahahaha! Na nasikia mmeanzisha mpango wa kutengeneza sanamu lake kwamba hata Mungu akimpenda zaidi, basi sanamu lake libaki kama Mwenyekiti Taifa wa Chadema! Ahahahahaha!!!
 
Hamuoni yeye anaona kukwatwa umeme fresh TU yaan TANESCO wakikata umeme wiki 1 mfululizo asubuhi mchana na usiku bila kuwasha mwanga km wanavyofanyaga DAWASA kukata maji hata wiki 3 mpaka Mwezi watu wanaishi bila maji hapo ndio wataelewa watanzania ni watu wa aina gani, tutaenda kuwachomoa kwenye Ofisi zao mmoja mmojwan

Alitolewa ukurugenzi TPDC akawekwa pembeni kupangiwa kazi nyingine miezi kadhaa iliyopita...
Ss kama n mvurigaj y asitolewe kbsa... Yaan they want to eat bread wenyewe tu na sio kuweka wengne wapya waone mabadiliko.. naamin Kuna members wengine ambao hawajapata nafas ya kutumikia nchi lkn wakipewa chance watafanya mabadiliko bt hawataki... Au they think kuleta member mpya ita-release issues zao za under capert
 
Ahahahahaha! Ila haushangai kwa Chadema kubaki na Mwenyekiti Taifa miaka yote tangu 2002! Ahahahahaha! Na nasikia mmeanzisha mpango wa kutengeneza sanamu lake kwamba hata Mungu akimpenda zaidi, basi sanamu lake libaki kama Mwenyekiti Taifa wa Chadema! Ahahahahaha!!!
Nje ya mada
 
View attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini

Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine

Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Mbutuka amebutuka baada ya kubutuliwa
 
View attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini

Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine

Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Hayo ndo majibu ya Mama Kizimkazi dhidi ya uhaba wa umeme?

Aisee
 
Kwa wanaomfahamu Dr. Mataragio watakubaliana nami kwamba ataitendea haki nafasi hiyo kutokana na ujuzi alionao katika sekta ya nishati. Kila la kheri Dr.
Anastahili kustaafu bwana tangu nimemsikia mimi nikiwa kijana mpaka nimezeeka jamaa yumo tu! Mh. Rais sasa ni zamu yangu uniteue sasa na mimi nile mema ya nchi hapo kwa muda mfupi!
 
Ccm ovyo sana, mabwawa yamejaa, jua kali tunalo, gesi na makaa wanauza nje, wanaanza kutafuta umeme wa geothermal
 
Ss akiingia huy mwngne ndio umeme hautakatka?
Mwingine nani acheni utetezi wa kijinga enzi zile za mkono wa Chuma TANESCO walikua tumbo joto hawakua wakikata umeme hata KIDOGO hadi tukasahau suala la umeme kukatika yaan hawa wanahitaji mtu mwenye karba hio mtu wa kuwaendesha kibabe kibabe tu undava undava ukizingua unapigwa chini ndio wananyooka ukiondoa wa kwanza akiingia mwingine akazingua ukimuondoa akiingia mwingine akazingua ukimuondoa kuna mmoja ukimweka lazima atagundua wapi kuna tobo na kuliziba mara moja Ila hawa wahuni wame-relax kuna tobo alafu wame-relax tu hawalizibi sababu wanajua hawana mtu wa kuwatia tumbo joto
 
Back
Top Bottom