Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

Kama mpoteaji ameamua kupotea kwa mapenzi yake na kama muumiaji ameamua kutokutoa ushirikiano kwenye upelelezi wake nani alaumiwe kwa hilo?
Kwa hiyo unaweza ukathibitisha kuwa hao wamepotea wenyewe na mbona polisi hawajathibitisha hilo?

Na huyo muumiaji je kama angefariki kwenye shambulio ina maana ya hawa polisi wanaodai wana intelijensia wasingefanya uchunguzi?
 
Kama sijakosea watu wengi wanapotea Tanzania wasijulikane wako wapi tunaona hata matangazo kwenye vyombo vya habari kila siku... na haijawahi kutokea rais akahisishwa au kujibu kuhusiana na upotevu huo kwanini hawa ? Je unaushahidi kuthibitisha kwamba Rais anahusika moja kwa moja na kupotea kwa watu
Kwa hiyo mtu akiripotiwa kuwa kapotea polisi hawawajibiki kuchunguza ili kupata ukweli huoni kwamba hapo kuna tatizo.

I've told you the president is an Accounting Officer he can't escape being vilified for any misdeed that happens during the course of his leadership.

Kama bado hujaelewa hadi hapo basi hutaelewa kabisa kwa sababu hutaki kuipa reasoning nafasi itawale ktk ubongo wako.
 
Harafu ndiye atakuwa Mwenyekiti wa Kamati Kuu wakati wa kujiadili?
 
Kwa hiyo unaweza ukathibitisha kuwa hao wamepotea wenyewe na mbona polisi hawajathibitisha hilo?

Na huyo muumiaji je kama angefariki kwenye shambulio ina maana ya hawa polisi wanaodai wana intelijensia wasingefanya uchunguzi?
Kama angefariki... bahati nzuri hajafariki mbona hataki kutoa ushirikiano
 
Back
Top Bottom