Kama sijakosea watu wengi wanapotea Tanzania wasijulikane wako wapi tunaona hata matangazo kwenye vyombo vya habari kila siku... na haijawahi kutokea rais akahisishwa au kujibu kuhusiana na upotevu huo kwanini hawa ? Je unaushahidi kuthibitisha kwamba Rais anahusika moja kwa moja na kupotea kwa watu