Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Miaka 20, maana yake watatumikia theluthi mbili ya miaka yao.

Mantiki hiyo ni kuwa Watatumikia miaka 13 na miezi kadhaa. Kwa kuwa wameshatumikia mwaka na miezi minne basi bado miaka 12 au chini ya hapo.

2023+12, watatoka 2035.

Ila hapo katikati wanaweza kuchomoka kwa msamaha wa Rais.
 
Miaka 20, maana yake watatumikia theluthi mbili ya miaka yao.

Mantiki hiyo ni kuwa Watatumikia miama 13 na miezi kadhaa. Kwa kiwa wameshatumikia mwaka na miezi minne basi bado miaka 12 au chini ya hapo.

2023+12, watatoka 2035.

Ila hapo katikati wanaweza kuchomoka kwa msamaha wa Rais.
Jela hata miezi 6 sio poa. Pasikie tu.
 
Hawa jamaa walijenga soko Moja kioja sana pale mbauda kwa gharama ya 1.4B... yaani pale kama walitumia sana pesa ni 200M, siku ya kulizindua... PM majaliwa alifika akapigwa na butwaa, akageuza msafara akagoma kulifungua akasema ni uchafu ule, akaamuru wakamatwe... Ndo kilichowafunga hao.... Ila ile pesa walipiga wengi tu Hawa ni mbuzi wa kafara
Hao ndiyo mapapa yenyewe. Waidhinishaji na wasimamizi.
 
Miaka 20, maana yake watatumikia theluthi mbili ya miaka yao.

Mantiki hiyo ni kuwa Watatumikia miama 13 na miezi kadhaa. Kwa kiwa wameshatumikia mwaka na miezi minne basi bado miaka 12 au chini ya hapo.

2023+12, watatoka 2035.

Ila hapo katikati wanaweza kuchomoka kwa msamaha wa Rais.
Rufaa inakwenda kuwamwaga!
 
Hawa jamaa walijenga soko Moja kioja sana pale mbauda kwa gharama ya 1.4B... yaani pale kama walitumia sana pesa ni 200M, siku ya kulizindua... PM majaliwa alifika akapigwa na butwaa, akageuza msafara akagoma kulifungua akasema ni uchafu ule, akaamuru wakamatwe... Ndo kilichowafunga hao.... Ila ile pesa walipiga wengi tu Hawa ni mbuzi wa kafara
Wakirugenzi wengi kwenye halmashauri wanakula rushwa na mamilioni za wananchi. Huku watumishi wadogo wakiungua jua.

PM angekuwa smart jela wangejaa wao badala ya kesi za wizi wa kuku
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na makosa ya uhujumu uchumi.

#tunaliwezeshataifa
Anatafuta ujaji tu huyo hakimu hana uzalendo wowote ule wote chawa tu
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na makosa ya uhujumu uchumi.

Hukumu hiyo imetolewa leo Alhamisi Agost 31, 2023 na Hakimu Seraphin Nsana, katika kesi namba 5/2023 ya uhujumu uchumi, iliyokuwa inawakabili Dk. Pima, aliyekuwa Mweka Hazina wa jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.

Akisoma hukumu hiyo ya kesi namba 5/2023, mbele ya mahakama hiyo, Hakima Nsana amesema kuwa baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili, mahakama imewatia hatiani washtakiwa katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa inawakabili.

"Kwa kuzingatia maombi ya mawakili wa upande wa washtakiwa, ikiwemo kutokuwa na rekodi ya makosa ya nyuma, utegemezi wa familia na ushirikiano mlioutoa katika kipindi chote cha uendeshaji wa kesi hii, mahakama inawapa adhabu ya kutumikia miaka 20 jela huku miezi 14 mliokuwa kizuizini ukizingatiwa," amesema

Mbali na hilo, washtakiwa wana haki na nafasi ya kukata rufaa katika Mahakama Kuu endapo hawajaridhika na hukumu hiyo.

(Imeandikwa na Bertha Ismail)
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
Dah
 
Back
Top Bottom