Wataachiwa tu ,nchi hii kuhukumiwa ukiwa na hela ni uzembe wako tuDuh sio poa. Kina Pima wangeomba tu Plea bargain na sio kwenda jela. Ila kama wana uhakika wa kushinda rufaa ni sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataachiwa tu ,nchi hii kuhukumiwa ukiwa na hela ni uzembe wako tuDuh sio poa. Kina Pima wangeomba tu Plea bargain na sio kwenda jela. Ila kama wana uhakika wa kushinda rufaa ni sawa.
Hawa washakaa kisongo tangia walivyokamatwa, walikua mahabusu sa ivi ndo wamepewa jezi rasmiHuyu kama amekomeshwa
Mziki wa kisongo akipelekwa atauweza kweli maana mwanzo
Mgumu sana
Ova
DuhHawa washakaa kisongo tangia walivyokamatwa, walikua mahabusu sa ivi ndo wamepewa jezi rasmi
Naunga mkono hoja,safi sana Serikali ya awamu ya 6 Kwa kupambana na Mafisadi Kwa vitendo.Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na makosa ya uhujumu uchumi...
Gambo alikuwa akiongea mara nyingi watu wanamshambulia,haya Sasa Wameumbuka.Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na makosa ya uhujumu uchumi...
KabisaHukumu hizi pia zingekuwa zinatoka kwa mawaziri wezi, makatibu wakuu wezi, MaRC wezi nk na hata MaRais wezi bila shaka Taifa lingekuwa mbali sana kiuchumi.
Leo ndio umetambua hili?Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwengine kwa faida yangu.
Afu wew bibi wew ungalijua ninavyo kupenda?Mshana Jr dada'ko kaiba, kahukumiwa miaka 20 jela.
Ulijuwaje? Hodari sana.Leo ndio umetambua hili?
Bado Mwakabibi
Mungu akujalie kwa kadri ya Moyo wako!!!Mama nipewe nafasi yoyote nipo radhi kufanya kazi 14hrs a day, punda mtwike mzigo najua utapitia hii comment ukiwa Zanzibar kwenye tamasha la kizimkazi. Kwenye kitengo tu ndio sichagui ila nachotaka niwe bize
Hahahaaahha kweliUmesoma vizuri? Miaka 20 toa miezi 14
Asante dearMungu akujalie kwa kadri ya Moyo wako!!!
😅😅😅Hiyo kesi watazungushana baada ya miaka 2 utakuja kusikia wameachiwaHawa jamaa walijenga soko Moja kioja sana pale mbauda kwa gharama ya 1.4B... yaani pale kama walitumia sana pesa ni 200M, siku ya kulizindua... PM majaliwa alifika akapigwa na butwaa, akageuza msafara akagoma kulifungua akasema ni uchafu ule, akaamuru wakamatwe... Ndo kilichowafunga hao.... Ila ile pesa walipiga wengi tu Hawa ni mbuzi wa kafara