Uchaguzi 2020 Dkt. Kavishe: Wawakilishi wa CHADEMA waliomba Tundu Lissu apunguziwe adhabu, maana yake walikiri kosa


Si watanzania wote wana udhaifu katika lugha ya kiingereza.

Ipo sehemu ya watanzania wanaweza kukaa meza moja na huyo Robert Amsterdam wenu na wakajadili masuala yote kwa upana wake.
 
Huyu sidhani kama ni PhD holder. Jina lake halisi ni Kawishe.
 
Upo sahihi Mkuu, ila wengi wao wana udhaifu mkubwa tu ktk lugha hiyo, hadi waliofika level za juu madigirii.

Labda uamue kuvaa miwani ya mbao.

Ndo nakufahamisha mkuu kwamba wapo watanzania ambao wana uwezo wa kuongea na huyo jamaa kiingereza kizuri na chenye grammar nzuri na wakaelewana uzuri tu.
 
 
Mfumo wa vyama vingi ni mwiba kwa watawala wa nchi za ki Africa. Mawazo ya wananchi wengi yapo enzi za ujima, hata kwenye kura ya kuingia siasa ya vyama vingi 80% walikataa. Kuingia vyama vingi ni baada kusoma nyakati na ile 20% ilikuwa ni wenye upeo mkubwa. Kwa yanayo tokea sasa ufumbuzi wake ni dola kukubali mfumo wa democracy na nchi itulie au mfumo inao uusudu wa mwenye nguvu atawale na vurugu iwe sehemu ya maisha.
 
Ndo nakufahamisha mkuu kwamba wapo watanzania ambao wana uwezo wa kuongea na huyo jamaa kiingereza kizuri na chenye grammar nzuri na wakaelewana uzuri tu.
Uko sahihi kabisa wachache hawawezi kukosekana.

Pia inategemeana na exposure ya mtu husika. Kadiri unavyokutana na watu wa sehemu tofauti tofauti na kuishi nao au hata ukiwa mfatiliaji mzuri wa vipindi vyao vya television unajifunza namna zao wanavyoongea kiingereza na hivyo unakuwa na uwezo wa kuwasikiliza na kuelewa waongeacho.
 
Kingereza kimekosewa
 
Tatizo la wengi wanafikiria JF ndio inafuatwa na Watanzania wengi wapiga kura. Hapa watu wanaingia kuona nini kinasemwa, Je, kina ukweli wowote, nk. Tena sio hii JF ya sasa. Watu walimzuia rais kuingia humu na jina lake kamili enzi zile itakuwa sasa hivi wakati wamenunuliwa na Chadema? Propaganda tu siku hizi.


Nipo ofisini hapa chini napokea simu .... ... ..




Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



?
 
Wala hamna haja ya kujikomba ,tunajua Mfumo mmbovu wa Nchi hii unampa nguvu Raisi alie Madarakani.Yeye hakosei ni malaika mkuu na mtakatifu sana .
Huo utakatifu wake feki feki lazima upigwe spana za kutosha
 
Na yule anayetumia police, nec na TISS ni kibaraka wa nani? Au matumizi ya vyombo vya umma kwa manufaa ya watu wachache ndo uzalendo?
Kutumia vyombo vya dola dhidi ya kibaraka ni baraka hata kwa Mungu
 
Acha ujinga hakuna watanzania wenye ujasiri wa kupambana na mtutu bado hawajazaliwa
 
Sasa hapo unatetea nini kwa mfano...unajidhalilisha tu
 
Lissu ana maagano gani na huyu jamaa na "wazungu"? Naanza kuwa na wasiwasi, ni hatari kama tutakubali kuchaguliwa kiongozi wa nchi na mataifa ya nje, haijalishi hata kama tuna hali mbaya kiuongozi kiasi gani.
Mkuu kama ume note lisu siku hizi hata akiandika kitu mtandaoni anaandika kwa lugha ya kingereza! Unajiuliza huyu ana agenda gani?

Huwa nasema kila siku hapa huyu Amsterdam anazidi kumaharibia Lisu ila wafuasi wa Lisu hawaelewi.
 
Hakuna haja ya kujieleza Kiasi hiki!!!!


Upendeleo unaonekana waziwazi!!!!
 
Wamtoe ndio watanzania wataonyesha rangi zao vizuri. Muda wa kuwaogopa polisi ulishapita, haki itendeke na siyo NEC kubeba watu mgongoni.
Nlifikiri sasa hivi uko barabarani umekinukisha, kumbe unasubiri uatolewe jumla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…