Dkt. Kigwangalla afungua duka la maziwa Kunduchi Mtongani, asema sasa anajikita kwenye ufugaji

Dkt. Kigwangalla afungua duka la maziwa Kunduchi Mtongani, asema sasa anajikita kwenye ufugaji

Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.

Kama huamini subiri utaona.
Hata mm ningefanya hivyo hivyo.....
kwa lengo la kusaka utajiri
 
Afadhali yeye anao mtaji ila vijana wanavyeti tu hawana ajira wala mtaji,

Sijui alifanya nini kuwapigania alipokuwa waziri kuhakikisha kuwa mazingira ya kujiajiri yanakuwa mazuri na ajira nayo inapatikana,

Otherwise tunamshukuru kwa kututambia duka lake.
 
Mtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Tupeane mrejesho wewe ulivyoenda kuchukua pale halmashauri kwenu
 
Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.

Kama huamini subiri utaona.

It makes sense.
 
Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.

Kama huamini subiri utaona.
Mkuu acha kusema ukweli
 
Mtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Yes mkuu fedha za halmashauri hazina riba yoyote unaweza pewa 10m baada ya mwaka ukarudisha hizohizo na kabla haujaanza kurejesha unapewa grace period ya miezi mitatu ndipo unaanza kurejesha na sisi hapa tulishakua na marejesho tumeshamaliza tunasubiria awamu nyingine.
 
Mtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Kwenye benki sijajua Ni benki gani inaweza kopesha vikundi bila dhamana yoyote labda unisaidie mkuu.
 
Dkt. Kigwangalla ambaye ni waziri mstaafu wa Serikali ya awamu ya 5 amesema kwa sasa amejikita kwenye ufugaji kwa kuwa ujasiriamali unalipa kuliko kitu kingine chochote.

Kigwangalla amesema kwa sasa anamiliki shamba kubwa la mifugo huko Mvomero mkoani Morogoro ambako anazalisha ng'ombe wa kisasa akiwa amejikita kwenye uzalishaji wa madume ya mbegu na maziwa.

Jijini Dar es salaam amefungua duka la maziwa maeneo ya Kunduchi mtongani linalosimamiwa na mke wake.

Dkt. Kigwangalla amewataka vijana kujikita kwenye ujasiriamali wasisubiri ajira kwani ushindani wa ajira ni mkubwa.

Maendeleo hayana vyama!
Mwambie tunawakumbuka Ng'ombe wa Wasukuma waliokamatwa pori la Lwafi mkoani Katavi, aliowapora na kujimilikisha baada ya kukamatwa hifadhini na kusafirishwa usiku kwenda kufichwa kwa rafiki yake Salum Sumry mmiliki wa zamani wa mabasi ya SUMRY ambaye kwa sasa ana shamba linaloitwa MSIPAZI FARM huko wilaya ya Nkasi Rukwa na kisha kusafirishwa kama Ng'ombe wanaopelekwa mnadani Pugu kumbe wanachepushwa kwenda kwenye shamba lake Mvomero. Viongozi wa CCM waendelee kudhulumu wananchi huku wakijifanya Watakatifu.
 
Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Sjui huwa mnapata wapi ujasiri wa kuongea huu uharo , sometyme maneno yenu huwa ni dhihaka Sana Kwa vijana wanaosota mtaani, mnafikri kama wanatania ...Ila bas tu....Mungu atawafanyia wepesi vijana wanaotaabika
 
Back
Top Bottom