Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Naona Sasa katoka kweli #njeyabox hapo Sasa tutaelewana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm ningefanya hivyo hivyo.....Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.
Kama huamini subiri utaona.
Maisha yanaenda kasi sana leo waziri kesho Muuza maziwa mwisho tutasikia ameajiriwa na Mo Dewji!Naona Sasa katoka kweli #njeyabox hapo Sasa tutaelewana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa mbona aligombea ubunge?
Aliombwa na wananchi!
Tupeane mrejesho wewe ulivyoenda kuchukua pale halmashauri kwenuMtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.
Kama huamini subiri utaona.
Mkuu karibu mtwango hapa naelekea kwa mwandulamiUnamfahamu Dr Mwandulami wa hapo Wangama?
Maisha yanaenda kasi sana leo waziri kesho Muuza maziwa mwisho tutasikia ameajiriwa na Mo Dewji!
Mkuu acha kusema ukweliWatu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.
Kama huamini subiri utaona.
Nimemkumbuka huyu Dr,mwanaye mmoja tulikuwa naye MALANGALIUnamfahamu Dr Mwandulami wa hapo Wangama?
Yes mkuu fedha za halmashauri hazina riba yoyote unaweza pewa 10m baada ya mwaka ukarudisha hizohizo na kabla haujaanza kurejesha unapewa grace period ya miezi mitatu ndipo unaanza kurejesha na sisi hapa tulishakua na marejesho tumeshamaliza tunasubiria awamu nyingine.Mtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Kwenye benki sijajua Ni benki gani inaweza kopesha vikundi bila dhamana yoyote labda unisaidie mkuu.Mtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Acha kuleta story za wanasiasa hapaMtaji umeukalia,nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi ,fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa
Unamfahamu Dr Mwandulami wa hapo Wangama?
Sema katiba au kapokea mgao wa wizi serikariniMtaji kapata kazini huyo!. Vijana mitaji watapata wapi?
Mwambie tunawakumbuka Ng'ombe wa Wasukuma waliokamatwa pori la Lwafi mkoani Katavi, aliowapora na kujimilikisha baada ya kukamatwa hifadhini na kusafirishwa usiku kwenda kufichwa kwa rafiki yake Salum Sumry mmiliki wa zamani wa mabasi ya SUMRY ambaye kwa sasa ana shamba linaloitwa MSIPAZI FARM huko wilaya ya Nkasi Rukwa na kisha kusafirishwa kama Ng'ombe wanaopelekwa mnadani Pugu kumbe wanachepushwa kwenda kwenye shamba lake Mvomero. Viongozi wa CCM waendelee kudhulumu wananchi huku wakijifanya Watakatifu.Dkt. Kigwangalla ambaye ni waziri mstaafu wa Serikali ya awamu ya 5 amesema kwa sasa amejikita kwenye ufugaji kwa kuwa ujasiriamali unalipa kuliko kitu kingine chochote.
Kigwangalla amesema kwa sasa anamiliki shamba kubwa la mifugo huko Mvomero mkoani Morogoro ambako anazalisha ng'ombe wa kisasa akiwa amejikita kwenye uzalishaji wa madume ya mbegu na maziwa.
Jijini Dar es salaam amefungua duka la maziwa maeneo ya Kunduchi mtongani linalosimamiwa na mke wake.
Dkt. Kigwangalla amewataka vijana kujikita kwenye ujasiriamali wasisubiri ajira kwani ushindani wa ajira ni mkubwa.
Maendeleo hayana vyama!
Sjui huwa mnapata wapi ujasiri wa kuongea huu uharo , sometyme maneno yenu huwa ni dhihaka Sana Kwa vijana wanaosota mtaani, mnafikri kama wanatania ...Ila bas tu....Mungu atawafanyia wepesi vijana wanaotaabikaMtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.