Dkt. Kigwangalla afungua duka la maziwa Kunduchi Mtongani, asema sasa anajikita kwenye ufugaji

Dkt. Kigwangalla afungua duka la maziwa Kunduchi Mtongani, asema sasa anajikita kwenye ufugaji

Mwambie tunawakumbuka Ng'ombe wa Wasukuma waliokamatwa pori la Lwafi mkoani Katavi, aliowapora na kujimilikisha baada ya kukamatwa hifadhini na kusafirishwa usiku kwenda kufichwa kwa rafiki yake Salum Sumry mmiliki wa zamani wa mabasi ya SUMRY ambaye kwa sasa ana shamba linaloitwa MSIPAZI FARM huko wilaya ya Nkasi Rukwa na kisha kusafirishwa kama Ng'ombe wanaopelekwa mnadani Pugu kumbe wanachepushwa kwenda kwenye shamba lake Mvomero. Viongozi wa CCM waendelee kudhulumu wananchi huku wakijifanya Watakatifu.

Hivi kuna kiongozi wa CCM mwenye mali halali?
 
Sjui huwa mnapata wapi ujasiri wa kuongea huu uharo , sometyme maneno yenu huwa ni dhihaka Sana Kwa vijana wanaosota mtaani, mnafikri kama wanatania ...Ila bas tu....Mungu atawafanyia wepesi vijana wanaotaabika
Mkuu Ni kweli aliyoyaongea we Cha kufanya undeni kikundi nenda halmashauri watawapa ushauri nn Cha kufanya
 
Pesa na mtaji siyo shida kwake
Anaweza kufungua biashara yoyote ile
Haya sasa mwenzangu na mimi jaribu ufanye
Wewe sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Ni kweli aliyoyaongea we Cha kufanya undeni kikundi nenda halmashauri watawapa ushauri nn Cha kufanya
Halmashauri Tanzania zimekuwa kama Jalala. Kila siku zinaporwa vyanzo vya mapato halafu vinatakuwa kuhudumia watu.

Halmashauri choka mbaya, hazina kitu. Ukienda sana sana mtaambiwa sajilini kikundi - mpaka mnamaliza baada ya miezi 6, inawacost mpaka Tsh 300,000 hakafu mkopo mkifanikuwa kupewa ni Tsh LAKI TANO 🤣🤣
 
Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.

Kama huamini subiri utaona.
Mkuu umemaliza kila kitu, wengine wachangie kusisimua mada.

NB: Vaa barakoa, kaa mbali na mikusanyiko, osha mikono kwa sabuni au tumia kitakasa mikono.
 
Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.

Kama huamini subiri utaona.

“Kahama Fresh”
 
Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.

Za madawati na madarasa zikosekane, lakini za mitaji zipatikane. Punguza kuamini wanasiasa mkuu
 
Back
Top Bottom