Kiangazikikavu
Senior Member
- Nov 20, 2018
- 117
- 99
Kiki hiyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie tunawakumbuka Ng'ombe wa Wasukuma waliokamatwa pori la Lwafi mkoani Katavi, aliowapora na kujimilikisha baada ya kukamatwa hifadhini na kusafirishwa usiku kwenda kufichwa kwa rafiki yake Salum Sumry mmiliki wa zamani wa mabasi ya SUMRY ambaye kwa sasa ana shamba linaloitwa MSIPAZI FARM huko wilaya ya Nkasi Rukwa na kisha kusafirishwa kama Ng'ombe wanaopelekwa mnadani Pugu kumbe wanachepushwa kwenda kwenye shamba lake Mvomero. Viongozi wa CCM waendelee kudhulumu wananchi huku wakijifanya Watakatifu.
Mkuu Ni kweli aliyoyaongea we Cha kufanya undeni kikundi nenda halmashauri watawapa ushauri nn Cha kufanyaSjui huwa mnapata wapi ujasiri wa kuongea huu uharo , sometyme maneno yenu huwa ni dhihaka Sana Kwa vijana wanaosota mtaani, mnafikri kama wanatania ...Ila bas tu....Mungu atawafanyia wepesi vijana wanaotaabika
Machine ndo ukamua na kupeki huo uchafu utakutana nao wapiAlivyo mchafu ayo maziwa mmh
Msalimie mtaalamu!Mkuu karibu mtwango hapa naelekea kwa mwandulami
Mkuu ahaa huyo alikuwa mganga balaa, YupoUnamfahamu Dr Mwandulami wa hapo Wangama?
Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Halmashauri Tanzania zimekuwa kama Jalala. Kila siku zinaporwa vyanzo vya mapato halafu vinatakuwa kuhudumia watu.Mkuu Ni kweli aliyoyaongea we Cha kufanya undeni kikundi nenda halmashauri watawapa ushauri nn Cha kufanya
Alikuwa anavunga UTALII, UTALII. Kuweni "Wazarendo"HK ni Msanii...NJE YA BOX.
KupekiMachine ndo ukamua na kupeki huo uchafu utakutana nao wapi
Personal hygiene hatumii dawa ya kusafisha meno na Deodorants alisema shangaziUchafu wake umeujuaje?
Mkuu umemaliza kila kitu, wengine wachangie kusisimua mada.Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.
Kama huamini subiri utaona.
Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.
Kama huamini subiri utaona.
Ni beer gani unakunywa. Agiza tatu kabisa nakuja kulipaMtaji kapata kazini huyo!. Vijana mitaji watapata wapi?
Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.