green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Doctor anakuawaje mchafuAlivyo mchafu ayo maziwa mmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doctor anakuawaje mchafuAlivyo mchafu ayo maziwa mmh
Bank hawatoi mikopo holela ndg.Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Acha unafkiMtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Dkt. Kigwangalla ambaye ni waziri mstaafu wa Serikali ya awamu ya 5 amesema kwa sasa amejikita kwenye ufugaji kwa kuwa ujasiriamali unalipa kuliko kitu kingine chochote.
Kigwangalla amesema kwa sasa anamiliki shamba kubwa la mifugo huko Mvomero mkoani Morogoro ambako anazalisha ng'ombe wa kisasa akiwa amejikita kwenye uzalishaji wa madume ya mbegu na maziwa.
Jijini Dar es salaam amefungua duka la maziwa maeneo ya Kunduchi mtongani linalosimamiwa na mke wake.
Dkt. Kigwangalla amewataka vijana kujikita kwenye ujasiriamali wasisubiri ajira kwani ushindani wa ajira ni mkubwa.
Maendeleo hayana vyama!
Hujazuiwa wewe, hata Mbowe pia aligombeaSasa mbona aligombea ubunge?
Ndio!!
!
wakati huo huo anaendelea kuwa mbunge au?
dunia hii kweli haina siriMwambie tunawakumbuka Ng'ombe wa Wasukuma waliokamatwa pori la Lwafi mkoani Katavi, aliowapora na kujimilikisha baada ya kukamatwa hifadhini na kusafirishwa usiku kwenda kufichwa kwa rafiki yake Salum Sumry mmiliki wa zamani wa mabasi ya SUMRY ambaye kwa sasa ana shamba linaloitwa MSIPAZI FARM huko wilaya ya Nkasi Rukwa na kisha kusafirishwa kama Ng'ombe wanaopelekwa mnadani Pugu kumbe wanachepushwa kwenda kwenye shamba lake Mvomero. Viongozi wa CCM waendelee kudhulumu wananchi huku wakijifanya Watakatifu.