Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu alichoongea Ni kweli sisi hapa Ni wanakikundi na mwaka Jana tulipewa 9m na marejesho yetu yanakaribia kuisha ili tuombe Ela nyingine mnadharau Sana ndo maana na hizo Ela lazima 10% itengwe kwa ajili ya vikundi na mm Ni mwanakikundi tuliokabidhiwa hizo ela.Za madawati na madarasa zikosekane, lakini za mitaji zipatikane. Punguza kuamini wanasiasa mkuu
Ndoto za mchana izo, kumbuka mpaka sasa tunavyongea ni mueshimiwa mbunge, njaa kwake ni sawa na umbali wa jua na DuniaMaisha yanaenda kasi sana leo waziri kesho Muuza maziwa mwisho tutasikia ameajiriwa na Mo Dewji!
Umenena mkuu...Watu wenye akili tunajua Dr.Kigwangwala yuko busy kwa sasa kufungua miradi yenye lengo la kutakatisha pesa alizopiga akiwa waziri wa utalii ili huko mbele ya safari tusijiulize kapata wapi pesa. Ni mbinu za kawaida sana za watawala na wanasiasa.
Kama huamini subiri utaona.
Kwani walioajiriwa na Mo Dewji wana njaa?Ndoto za mchana izo, kumbuka mpaka sasa tunavyongea ni mueshimiwa mbunge, njaa kwake ni sawa na umbali wa jua na Dunia
Benk ipi kiongozi?Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Ndiyo wana njaa.manager wa kwa Mo achukui hata milion 4.wakati iyo ela ya kuonga tu kwa mbungeKwani walioajiriwa na Mo Dewji wana njaa?
* Msahara wa mbunge ni Tsh mil 4.6Kwani walioajiriwa na Mo Dewji wana njaa?
Teh teh teh teh,, kama juzi nimecheka sana kuona mbaba mmoja anajidai kukamua maziwa kutoka kwa ng'ombe bila kunawa! Nilishangaa sana maana Usukumani haturuhusiwi kukamua bila kunawa. Kati ya vimiminika vinavyoakisi uchafu wa aina yoyote kwa haraka kabisa ni maziwa! Mzee baba aache usanii kwenye maziwa!!Alivyo mchafu ayo maziwa mmh
True!Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Picha please.! We want verification ya hayo anayosema!!Safi sana. Go ahead bro
Maisha yanaenda kasi sana leo waziri kesho Muuza maziwa mwisho tutasikia ameajiriwa na Mo Dewji!
Akaongeze mijihelaSasa mbona aligombea ubunge?
Mlolongo wa kuipata yaweza kuchukua hata miezi 6 bora kuangaika kwingineYes mkuu fedha za halmashauri hazina riba yoyote unaweza pewa 10m baada ya mwaka ukarudisha hizohizo na kabla haujaanza kurejesha unapewa grace period ya miezi mitatu ndipo unaanza kurejesha na sisi hapa tulishakua na marejesho tumeshamaliza tunasubiria awamu nyingine.
Ndiye aliyekupa dawa ya kufubaza akili zako?Unamfahamu Dr Mwandulami wa hapo Wangama?
AhsanteMtaji kapata kazini huyo!. Vijana mitaji watapata wapi?
Kwa hiyo aache kuukalia apakatweMtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.