Dkt. Kigwangalla afungua duka la maziwa Kunduchi Mtongani, asema sasa anajikita kwenye ufugaji

Mtaji umeukalia, nasema hivi vijana unganeni tengenezeni proposal ya mradi, fedha zipo ndani ya halmashauri zenu kadhalika kwenye mabenki kwa riba nafuu kabisa.
Bank hawatoi mikopo holela ndg.
 
"ujasiriamali unalipa kuliko kitu chochote"[emoji848][emoji848][emoji848].
Huyu anampiga dongo magufuli
 
Maziwa na asali vitu vya kipekee kabisa Hongera Dr, kutusambazia kimoja wapo
 


!
!
wakati huo huo anaendelea kuwa mbunge au?
 
Mi namsifu kwa kuchagua location mtoni ni sehemu yenye biashara sana mpaka waje washituke kashatembea na gape
 
dunia hii kweli haina siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…