Wanafiki ni wengi na bado wanakuja.Kwa nini haya hakuyasema mwanzo?
Binadamu tumejaa unafiki wa hali ya juu......
Muislam huyu.. Na katika quraan wanafiki kama hawa wamezungumziwa saaanaaHuyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Sasa kazi anayo,tutaona kama ataenda mbele au atarudi nyumaDorothy alifanya mabo kwa mihemko sana, ni kati ya mawaziri wapumbavu
Na ww uache kupotosha watu humu..... Imegandisha watu wangapi kati ya watu million 17 waliodungwa??Wenda hayati alikua na mawazo mazuri juu ya kukabiliana na hili janga ikiwemo kufanya utafiti juu ya chanjo zinazo kuja nnchi lakini kwa kuzungukwa na wasaliti na watu wasio na uzalendo kama kigwangala kutachangia sisi kupokea chanjo za hisani mana iyo oxford astrazeneca inawagandisha damu adi walio itengeneza
Mfano wa ualimu hauwezi kuwa applicable kwenye mjadala huu,Tatizo unachanganya politics as a discpline/profession ama politics as a career.
Mfano kila mtu anaweza fanya biashara je ina maana waliosomea Business Administration wamepoteza muda?
Kinadharia kabisa ilipaswa vyama vya siasa na mashirika ya umma yaongozwe na watu wenye background ya political science (Public administration & public relation) ili waweze kuongozwa kiprofessional kabisa.
Na ndio maana kuna chuo kikuu hapa TZ kimetoa diploma ya education kwa tutors na lecturers wake sababu imegundua wanaofundisha chuo kikuu hawana basics za UALIMU yaani kasome tu udaktari kisa ana GPA kubwa eti afundishe. Hapo professionalism hamna ila PRACTICE inakuwepo.
So tutenganishe practice na discipline
Unafki ni kipaji, na nadhani ni moja kati ya entry point ya chama cha kijaniJamaa wako vizuri kwakweli
Dorothy alifanya mabo kwa mihemko sana, ni kati ya mawaziri wapumbavu
Majaliwa alitudanganya msikiti tena baada ya swala ya ijumaaUnafki ni kipaji, na nadhani ni moja kati ya entry point ya chama cha kijani
Yule jamaa kila nikimwangalia, nahisi ni kauzu kuliko hata alivyokuwaga jiweMajaliwa alitudanganya msikiti tena baada ya swala ya ijumaa
Mimi naona katubu ni sawa tu. Alikuwa utumwani.Amefanyaje mkuu?
Kauzu zaidi ya dagaaYule jamaa kila nikimwangalia, nahisi ni kauzu kuliko hata alivyokuwaga jiwe
Mbona bavicha wengi tu wanasema sasa hivi ni jembe maana kwa mtqzamo wao kawa mkweli? Yaani kasema wanachopendaDah nimekaa nafiria Zaid ya masaa kadhaa ivi mpaka Sasa sijapata Majibu kama kwel ama Naota
Uyu mzee sio wa kumuamin hata Mke wake Akae nae kwa Umakin mkubwa bado najiuliza how
Na jina Hamis kwa kiislamu linamaanisha nini bwashee?Muislam huyu.. Na katika quraan wanafiki kama hawa wamezungumziwa saaanaa
Yes, tunaanza kukubalina taratibuKwa hiyo tunaanza kukubaliana kwamba kulikuwa na UDIKTETA kwenye hii nchi, kwamba ilikuwa ukisema yasiyompendeza MTAKATIFU adhabu inakuandama, Lissu alikuwa sahihi.
Kwakweli hata siku 21 hazijaisha bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabla Jogoo hajawika.......