The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
This dude sucks!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa wa kuku aiseeKigwangalla ni daktari wa nini?!!
Ni daktari wa binadamuKigwangalla ni daktari wa nini?!!
Amewahi kumtibu mtu akapona?!Ni daktari wa binadamu
Hawa jamaa utafikiri ni watu wa sanaa za maonyesho!!!!.Pamoja na yote heri nusu Shari. Heko Daktari Kigwangala kuukumbuka wajibu wako kwa jamii.
Pole pole akina johnthebaptist, mjingamimi na wenzao hapa chini akili taratibu itawarudia:
View attachment 1743861
View attachment 1743860
Subiria yavuta heri.
Hata aibu halioni!Linafiki likubwa 😂😂
Hivi bado huyu kilaza anawashangaza jamani? Mimi nilishamdharau siku nyingi sana. Huyu licha ya unafiki, kichwani hamna kitu.
Pamoja na yote heri nusu Shari. Heko Daktari Kigwangala kuukumbuka wajibu wako kwa jamii.
Pole pole akina johnthebaptist, mjingamimi na wenzao hapa chini akili taratibu itawarudia:
View attachment 1743861
View attachment 1743860
Subiria yavuta heri.
Wa unafiki na kutafuta kiki.Kigwangalla ni daktari wa nini?!!
Hamna baada ya ile mutu kufa ikawarudishia akili zao kwani hapo kabla wote walikuwa wamemkabidhi yure mutu akiri zao.Nadhani aliapa kitambo tu, ila alisahau...
Sasa ndio kakumbuka kua hapo zama za kale, alikulaga kiapo 😱
Huyu umbwa kachanganyikiwa alifikiri mama atamkumbukwa kwa kigezo cha udini kumbe na yeye anamuona mbwiga tyu
Aisee ndie huyu huyu alietoa hii nikuu na bila aibu akaiweka hadharani!! [emoji15][emoji443][emoji445] Tanzania Tanzania.
Ninakupenda kwa moyo woteee [emoji445][emoji443]
View attachment 1743608View attachment 1743609
ENT..Kigwangalla ni daktari wa nini?!!