Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
exactly, nililenga huko. hli jitu takataka inabidi lipelekwe mahakamani ndipo akili italikaa sawaAseme kama hakukodi Hoover imtembeze Mbugani yeye na wahuni wenzie kuangalia pundamilia?Au,hakuwalipa wahuniwahuni kufanya matangazo ya utalii kitapeli?
Hana akili hyo mjinga anaongelea statement ya hangaya dhidi ya Waziri wa kilimo.Sijui anamsema nani sasa?
Hahahaaaa......... Wewe una akili sana bwashee.Hana akili hyo mjinga anaongelea statement ya hangaya dhidi ya Waziri wa kilimo.
Dogo alikua anataka am drive Prof akiwa katibu mkuu maliasili.
Prof kamgomea na kapigwa chini yeye
Unyafuzi ndio ugonjwa gani?Katika maisha yote ya siasa sijawahi ikubali hii TAKATAKA
Kwanza iliugua unyafuzi utotoni kwake.
Anadeka.kigwa ndio naamini kweli ni mshenzi sana. Anataka kuaminisha watu kwamba alinyanyaswa na nani?
Labda kuna Mababa wa Taifa wawili.Hivi hiyo sanamu ni kumuwakilisha nani?Kama ni Mwl.Nyerere hapana.
Watafuta madaraka ni wengi mno. Hata aibu hakuna sasa ni waziwazi tuMbunge wa Nzega vijijini Kigwangalla ameandika kwenye ukurasa wake twitani kwamba, Tulionewa Tulisimangwa, Tulisingiziwa na Kunyanyaswa na watu waliokuwa na access lakini sasa mambo yao yako wazi tena yana ushahidi. Namshukuru Rais Samia kwa kuliona hilo.
Kiukweli Lumumba moto unawaka sawia na Ufipa.
Dominica njema!
Ndio anamfanyia figisu ili atumbuliwe!Nakumbuka sana bifu yake na Prof. Mkenda alipokuwa Katibu Mkuu wa Maliasili. Siku hazilingani. Aliye juu atashuka chini na aliye chini atapanda juu. Leo hii Prof. Mkenda ni Bosi wake apende asipende.
Kwashakoo!
Kaandika category tatu hapo, acha kumchagulia category 🤣🤣🤣Kwani Kigwangalla alisahaulika enzi za mwendazake?