Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!

Aandike Hadi Yale ya ndani kabisa, watu tuyajue: binafsi nataka kujua baba yake alihusika vipi katika siasa ya Tanzania, aliwezaje kuwa mwanajeshi wakati muda mwingi alikuwa akitumikia chama sehemu mbalimbali, kwanini aliachana na mke wake wa Kwanza tunataka tumfahamu pia na yupo wapi kwa sasa(mama ridhiwani), kwanini suala la ufisadi hakulichukulia serious. Ni kujua tuu basi
 
Hivi unaweza kuuza miaka yako kwa Lucifer, ebu nielimishe hapa
 
Ongea kwani bado uko hai ili tukusikie live hayo makando kando mmmm
 
Anaandika yale anayotaka tuyajue lakini haandiki historia ya ukweli wa maisha yake, hiyo nakataa.
 
Haha mzee labda ahamasike baada ya kuona wenzake wote wametoka vitabu, lakini kwa umri ule atakuwa na kumbukumbu ya mambo yote yaliyotokea kipindi cha his reign?
Miaka zaidi ya tisini sidhani Kama hata kumbukumbu iko sawa,
 
Mke wa kwanza alitangulia mbele ya haki.

Nitafurahi akiandika anayofahamu kuhusu pesa ya escrow iliyosombwa kwenye magunia na magari ya Ikulu.
 
Kipindi kile watu wangeandamana sana kupinga. Sipati picha wapinzani namna ambavyo wangetoa matamko.
Daah, ni kweli Ila upole nao ni mbaya, kipindi kile maandamano Kila wakati,matamko ya vyama vya wafanyakazi Kila wakati, sahizi kimyaaa
 

Kuna uzi mmoja ulikuwepo uliuliza inakuwaje mtu akishaandika kitabu kuhusu life lake then baada ya muda mfupi anakata kamba? Hilo swali halihusiani na vitabu vya Mengi,Mkapa au Le Mutuz.
 
Daah, ni kweli Ila upole nao ni mbaya, kipindi kile maandamano Kila wakati,matamko ya vyama vya wafanyakazi Kila wakati, sahizi kimyaaa
Wangetoka na misemo kama HATUOGOPI, TUTAPIGANA HADI KUFA ATOKE HUYU. HII NCHI SI YA BABA YAKE N.K
 
Kwisha habari yake...!

Ningekuwa jirani naye ningemshauri asifanye upesi...!
 
Huyu Jakaya si alienda hadi marekani huko kufanya uhariri wa kitabu..ama hiki ni kingine tena.
 
Mbona mnasema amejijengea mizizi ambayo JPM ndo anaing’oa? Yule mtuhumiwa wa ufisadi yeye JK alidhani ataifuatilia hiyo mizizi yake ndo maana akampiga chini au alifanya kwa maslahi mapana ya Taifa?
 
Yasjayo yanafurahisha tusubiri .....nani atakizindua ? Maana madongo kwa iwe yatakuwepo ....." Hakuna chaguo ......ikatokea ......." Bwana yule hatapenda mengi humo !!
 
Miaka zaidi ya tisini sidhani Kama hata kumbukumbu iko sawa,
Naona amechelewa, angekuwa yuko smart sana alipaswa atoe kabla ya Mkapa. Labda angekuwa ameshatangulia Kama wadau wanavyosema kuwa ukitoa kitabu Cha kuelezea maisha yako one to two year tunakuzika😆😆
 
Ongelea bongo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…