johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunajenga kwa fedha za ndani mkuuNi sahihi kabisa. Nakubaliana na Kimei.
Serikali ikope ikamilishe miradi ya sgr na bwawa la umeme.
Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Himilivu!Hatua hiyo italifikisha deni la Taifa mpaka wapi?
Alikopa wapi?Zile alizokopa MEKO trilioni 14 kazipeleka wapi?
Anajua yeye mwenye wapi alipokopa maana kwenye utawala wake ameongeza deni la taifa zaidi ya 14 trilioni.Alikopa wapi?
Mikopo yote ilipitishwa bungeni!Anajua yeye mwenye wapi alipokopa maana kwenye utawala wake ameongeza deni la taifa zaidi ya 14 trilioni.
Ama hujui kakopa wapi basi wewe ni muongo,Anajua yeye mwenye wapi alipokopa maana kwenye utawala wake ameongeza deni la taifa zaidi ya 14 trilioni.
Mambo yapi aliweza kuyafanya?Kwani Mwendazake alikuwa anafanyaje hadi mambo yanaenda?
SGR fedha za ujenzi jpm slizitoa wapi? Baada ya yeye kufariki mnaanza kuibuka na kwenda kukopa nje?Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Ina maana maendeleo huyaoni!!??Zile alizokopa MEKO trilioni 14 kazipeleka wapi?
Alikuwa anatumia fedha za ndaniKwani Mwendazake alikuwa anafanyaje hadi mambo yanaenda?
Hawa wanataka kutuiba.Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!