King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Deni la JK limeongezeka riba.
Ndomana Kimei atatuonyesha Chimbo lake huko US riba ni 5%
Kwahiyo ongezeko lote ni riba hatujakopa hata sent 5? Kutoka trilioni 20 hadi 55 ni riba tu Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deni la JK limeongezeka riba.
Ndomana Kimei atatuonyesha Chimbo lake huko US riba ni 5%
Narudia tena tembea vijijini uone maboresho ya vituo vya afya na miundo mbinu...Kwani kodi alikuwa anachukua za kazi gani? kwani Nyerere,Mkapa,Mwinyi,Kikwete hawakujenga vituo vya Afya kwenye awamu zao?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!Kwani kodi alikuwa anachukua za kazi gani? kwani Nyerere,Mkapa,Mwinyi,Kikwete hawakujenga vituo vya Afya kwenye awamu zao?
Tulikopa wapi?Kwahiyo ongezeko lote ni riba hatujakopa hata sent 5? Kutoka trilioni 20 hadi 55 ni riba tu Mkuu?
Daah ilikuwa balaa madai ya walimu.. Kupanda madaraja watumishi, wastaafu kucheleweshewa malipo.. Wengi hawakupata. Kodi za kubambika, faini kubwa.. Aisee acha mkuu Mwendazake tutamkumbukaKwani Mwendazake alikuwa anafanyaje hadi mambo yanaenda?
Kama alikuwa anaweza kuwazuia kufanya mikutano na kuwapora ushindi kwenye uchaguzi kulikuwa na ulazima gani wa kuwanunua?Kununua wapinzani ni uzembe?
Kama walikuwa sokoni utaacha kuwanunua kwa bei ya sale....sale!Kama alikuwa anaweza kuwazuia kufanya mikutano na kuwapora ushindi kwenye uchaguzi kulikuwa na ulazima gani wa kuwanunua?
Narudia tena tembea vijijini uone maboresho ya vituo vya afya na miundo mbinu...
alafu tafuta kazi ufanye mm nipo bize job....
nikipata chansi nitakujibu kwa mapana badae
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Tulikopa wapi?
Miradi ya kipuuzi tunapiga chini.MMH! ANGALAU HUYO NAZUNGUMZA LUGHA YA UWEZEKANO BADALA YA WALE WANAOANZA KUONESHA KUPUUZA MIRADI HIYO NA KUIBUKIA BANDARI YA BAGAMOYO.
Mpango huyu huyu aliyepanda cheo kuwa VP?!!Kwakuwa JIWE ameenda basi muulize Mpango na Dotto James wapi walikopa.
Kikwete aliacha 20T ila JIWE ameacha 55T +
Miradi yote itakamilika kwa mujibu wa Ilani ya uchaguzi!Miradi ya kipuuzi tunapiga chini.
Kwani ukikopa unakuja kulipa kwa kutumia nini? Au unalipa kwa fedha zinazotoka wapi? Unajua vigezo vya mtu, taasisi au nchi kukopesheka? Au unadhani kujenga kwa pesa za ndani maana yake ni kujenga kwa cash (fedha taslimu)?Tunajenga kwa fedha za ndani mkuu
Dah, Ila Mzee alikua muongo jamani, khaa!!! Halafu alikua anajitanabaisha kua yeye ni msema kweli hivyo ni kipenzi cha Mungu!Uyu Kimei atakua sio mzalendo kabisa,
mbona miradi mingi tu tunajengaga kwa fedha zetu za ndani?
[emoji28][emoji116]View attachment 1747413
...hata mwezi haujaisha wameisha anza kuwaza kukopa kumalizia miradi kwani Pesa zilizokuwa hapo hazina wamezipeleka wapi🙄🙄 hii awamu Tembo atabanda ndege sio twiga tuuSGR fedha za ujenzi jpm slizitoa wapi? Baada ya yeye kufariki mnaanza kuibuka na kwenda kukopa nje?
....hii nchi ngumu Sana tunarudi kama kipindi cha jk mawaziri kusaini mikataba hotelin na kuongeza cha juu kila mkopo....hayati hakupenda huu ujinga