Dkt. Kimei: Serikali ikakope kwenye soko la nje ili ikamilishe miradi ya kimkakati SGR na Bwawa la umeme

Dkt. Kimei: Serikali ikakope kwenye soko la nje ili ikamilishe miradi ya kimkakati SGR na Bwawa la umeme

Mkuu Mkapa 2005 aliacha deni la Taifa likiwa Trillion 10 baada ya Mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili kutupunguzia deni. Kikwete ndani ya miaka 10 akaliongeza kwa 33 trillions na kufikia 43 trillions na jiwe ndani ya miaka mitatu aliliongeza kwa 16 trillions na 2018 likafikia 59 trillions.
1617966630363.jpeg

Zile alizokopa MEKO trilioni 14 kazipeleka wapi?
 
Si walisema soon tutakuwa Donor County! Wapinzani hawapo nani mwingine sasa anatuchelewesha?
 
Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.

Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%

Source Star tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
"Hatutaki mikopo ya Mabeberu. Tutajenga kwa pesa zetu za ndani" au nasema uongo jamani?
 
Mkuu Mkapa 2005 aliacha deni la Taifa likiwa Trillion 10 baada ya Mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili kutupunguzia deni. Kikwete ndani ya miaka 10 akaliongeza kwa 33 trillions na kufikia 43 trillions na jiwe ndani ya miaka mitatu aliliongeza kwa 16 trillions na 2018 likafikia 59 trillions. View attachment 1747445

Hatari Mkuu ,sijui kazipeleka wapi hizo 16 T maana miradi mingi tuliifanya kwa fedha zetu wenyewe.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.

Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%

Source Star tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Nakumbuka SGR tulikopa Standard Chartered Bank kama miaka miwili iliyopita
 
Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.

Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%

Source Star tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Kukopa tena, si tulikubaliana sisi ni dona kantree
 
Back
Top Bottom