johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Bavicha huyo hana macho!Ina maana maendeleo huyaoni!!??
au unaishi shimoni!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bavicha huyo hana macho!Ina maana maendeleo huyaoni!!??
au unaishi shimoni!!
Goli liko wazi bwashee!Hawa wanataka kutuiba.
Walisema tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Sa mbona mnataka kukopa? Au wale walikuwa chadema?
Kwani Mwendazake alikuwa anafanyaje hadi mambo yanaenda?
SGR fedha za ujenzi jpm alizitoa wapi? Baada ya yeye kufariki mnaanza kuibuka na kwenda kukopa nje?Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Mikopo yote ilipitishwa bungeni!
Kama hivyo basi tufanye hivyoHimilivu!
K
Ama hujui kakopa wapi basi wewe ni muongo,
Ikiwa masharti ndio yale Bandari hiyo isijengwe au wapewe wengine na sio wachinaMMH! ANGALAU HUYO NAZUNGUMZA LUGHA YA UWEZEKANO BADALA YA WALE WANAOANZA KUONESHA KUPUUZA MIRADI HIYO NA KUIBUKIA BANDARI YA BAGAMOYO.
Muulize mbunge wako Halima Mdee atakuthibitishia!Weka clip hata moja ambayo ulipitisha mkopo,kama ujenzi tu wa chato haukufuata utaratibu ndio itakuwa mkopo?
Ina maana maendeleo huyaoni!!??
au unaishi shimoni!!
Deni la JK limeongezeka riba.Mimi naangalia deni alilolikuta kwa kikwete na yeye aliloliacha...Kutokujua kwangu wapi kakopa haina maana kwamba hatukukopa.
This is the kind of thinking and brain storming that we want as a country.Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Tembelea vijijini uone maboresho ya vituo vya afya....Maendeleo gani mkuu? Ujenzi wa SGR na "STEGOLAZ"? Hizo si fedha zetu za ndani?
Fedha zote za ndani!Maendeleo gani mkuu? Ujenzi wa SGR na "STEGOLAZ"? Hizo si fedha zetu za ndani?
Huyu Mbunge wa Ndugai Bwashee anawakilisha wananchi wa gereji ya bunge.Muulize mbunge wako Halima Mdee atakuthibitishia!
Tembelea vijijini uone maboresho ya vituo vya afya....
Alinunua wapinzani, akajenga chato na uzembe mwingine.Zile alizokopa MEKO trilioni 14 kazipeleka wapi?
Kununua wapinzani ni uzembe?Alinunua wapinzani, akajenga chato na uzembe mwingine.