Zile alizokopa MEKO trilioni 14 kazipeleka wapi?
"Hatutaki mikopo ya Mabeberu. Tutajenga kwa pesa zetu za ndani" au nasema uongo jamani?Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Mkuu Mkapa 2005 aliacha deni la Taifa likiwa Trillion 10 baada ya Mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili kutupunguzia deni. Kikwete ndani ya miaka 10 akaliongeza kwa 33 trillions na kufikia 43 trillions na jiwe ndani ya miaka mitatu aliliongeza kwa 16 trillions na 2018 likafikia 59 trillions. View attachment 1747445
Kweni ulikua ujuii !!Ok kumbe ndo CRDB huwa inakopa ili kukuza mtaji halafu wanakuja kutukopesha watumishi kwa riba ya juu sana. ok nimeelewa sasa
Marehemu hana kesi ya kujibu .hii inaitwa dismissed caseHatari Mkuu ,sijui kazipeleka wapi hizo 16 T maana miradi mingi tuliifanya kwa fedha zetu wenyewe.
Nakumbuka SGR tulikopa Standard Chartered Bank kama miaka miwili iliyopitaMbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Kukopa tena, si tulikubaliana sisi ni dona kantreeMbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme.
Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6%
Source Star tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Unaambiwa ni 16 kabisaZile alizokopa MEKO trilioni 14 kazipeleka wapi?