elly obedy
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 803
- 1,482
Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumbanJe kifo chake nacho kimetokana na matatizo ya kupumua?
Acheni uongo mzee alikua na sukar jamenChangamoto ya upumuaji..!!
Hao ni wapumbavu Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban Mzee alikua na sukarAcha kuzusha zusha mambo
Acha uongo mzee alikua na sukarWataalam si mmekubali kupelekeshwa na jiwe!? Ngoma haituondoi peke yetu.
Sasa kwani COVID anatafuta watu gani?Acheni uongo mzee alikua na sukar jamen
Sent by IPhone
Mkuu vifo vya watu mashuhuri vimekuwa vikiletwa humu kila siku, hata kabla ya Corona. Labda kama wewe ni mgeni.Sio sifa, mnatafuta umaarufu kwenye vifo vya watu why? Kwani hapo awali watu walikuwa hawafi? Mbona mlikuwa hamleti Tanzia kama hivi, ridiculous!