Waziri anasema hakuna wakati raisi anaema walioenda kuchanjwa wamerudi na korona mpyaPongezi kwa Kanisa Katoliki kwa kuamua kujitofautisha na wanasiasa maana wanasiasa wetu misimano yao haieleweki, haipo, ipo kidogo, hakuna...
Utadhani Corona imekuwa ugonjwa unaosababishwa na hali ya hewa, ukidhani mvua itanyesha then wingu likitawanyika hainyeshi tena.
Waziri yupi?Waziri anasema hakuna wakati raisi anaema walioenda kuchanjwa wamerudi na korona mpya
Nilitaka kumaanisha kufanyia utafiti na kupitisha chanjo huchukua muda gani .Bangi ni hatari sana.
Acheni kuamini upuuzi! Hakuna munguMungu anasema kupitia roho mtakatifu anayeongoza kanisa kwa viongozi wake!
Taratibu zinabadilika kutokana na teknolojia. Usitegemee kuwa kwa sababu iliwachukua watu siku 3 kufika mwezini miaka ya 1970 basi itakuwa siku hizo hizo 3 mwaka 2020Ukifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zina chukua muda gani ?
Lipi litakatifu??Pagani la chattle hili endelea kupiga nyungu tu
Kama hapa "Taratibu zinabadilika kutokana na teknolojia. Usitegemee kuwa kwa sababu iliwachukua watu siku 3 kufika mwezini miaka ya 1970 basi itakuwa siku hizo hizo 3 mwaka 2020
Ukifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zina chukua muda gani ?
Dr. MollelWaziri yupi?
Foolish person ever existed.Kwani wapi ktk Biblia MUNGU alisema na watu moja kwa moja km si kwa kupitia watu???.Nionyeshe ktk Biblia ambapo MUNGU aliwapa maagizo wanadamu moja kwa moja.Nilidhani Mungu ndo kasema
Ulithibitisha ni yeye binafsi au mambo ya hisia?Baba huyu huyu akielike picha Instagram au?
Kwa hiyo kama wewe huamini jambo,therefore kila mtu na aamini kama unavyoamin wewe?Acheni kuamini upuuzi! Hakuna mungu
Mpuuzi kweli wewe... hakuna mungu kuna Mungu.Acheni kuamini upuuzi! Hakuna mungu
Kwahiyo Mungu amesemaFoolish person ever existed.Kwani wapi ktk Biblia MUNGU alisema na watu moja kwa moja km si kwa kupitia watu???.Nionyeshe ktk Biblia ambapo MUNGU aliwapa maagizo wanadamu moja kwa moja.
Ok let me make it a little bit simple , what is the reasonable time to complete hiyo circle, and confirm it to be ready to be used by human beingsHakuna muda maalum
Miaka mitatu!Ok let me make it a little bit simple , what is the reasonable time to complete hiyo circle, and confirm it to be ready to be used by human beings