Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
magufuli yupo wapi, embu leta kapichaaHuyo padri wako mnafiki sana. Anataka kuuwa watu weusi. Unaambia adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi. Hivi Magufuli(mzee mweusi) anasema hizo chanjo si salama. Kitime na huyo baba yake mtakatifu(mzee mweupe) wanasema tumwamini mzee mweupe. Mimi nitake my chances kwa kumsikiliza mzee mweusi(magufuli).
watu weupe wameshatuletea magonjwa mengi kutumaliza: ukimwi malaria, cancer, kisukari,....mbona hawatupi dawa za haya magonjwa?????? Eti chanjo ya mafua. Wakapigane hizo chanjo wenyewe. Sisi ni nyungu tuuuu..
Inasemekana miaka 6 hadi 10. Na inasemekana kuwa RC wameigomea chanjo Kule Kenya kwa sababu hiiUkifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zina chukua muda gani ?
Inasemekana = UdakuInasemekana miaka 6 hadi 10. Na inasemekana kuwa RC wameigomea chanjo Kule Kenya kwa sababu hii
Inasemekana maana yake sina uhakika. WE ELEWA HIVYO.. Na mimi kutokuwa na uhakika haina maana kwamba NI LAZIMA kwamba haipo hivyoInasemekana = Udaku
Pitia na hapaInasemekana = Udaku
Kuna Sayansi ya dunia ya kwao na ya kwetu,yeye ni kwao na anajua mazingira na uhalisia wa afya zao,angekua ni Baba Mtakatifu kutoka Botswana,Tanzania, Ghana n.k hapa Afrika angesema vingine,na huyo ndo anawatuma hao maajenti wao maana kuitwa mtakatifu si tija.Katibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona.
Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua tahadhari kama Mataifa yaliyoendelea yafanyavyo ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa na kunawa mikono.
Fr. Kitima amesema kwa sasa wazee wengi wameacha kuhudhuria ibadani wakihofu maambukizi ya Corona.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Korona ni maada. Maada ni kitu chochote chenye uzito na hushika nafasi.Corona ni kirusi, ni kweli kipo.
Huyu kirusi ni kweli anashambulia mfumo wa hewa, na akifika kwenye mapafu ndio hali inakuwa mbaya zaidi.
Mwanzo top layer leaders walituambia corona ipo hata kwenye mapapai, kwa mbuzi n.k. Hivyo tusiiogope, lkn tulichukua tahadhari zote kasoro lockdown.
Safari hii tumeibuka na mambo ya chanjo, kwamba wazungu hawana nia nzuri na sisi.
Mimi niwaulize tu watz wenzangu, msimamo wa top layer wetu ni upi hasa, maana naona kuna kujikanganya kwingi.
Sasa udaku wako ni siku, wiki,miezi,miaka mingapi .Inasemekana = Udaku
Amina sana kiongoziSasa udaku wako ni siku, wiki,miezi,miaka mingapi .
Once clinical trials show that the product is effective, producing a large amount of it in a safe manner can take approximately four years.
That timeline includes designing, building, qualifying and licensing a manufacturing facility, and then producing adequate amounts of the vaccine to get to market
Kwani bange ina kawaida ya kukaa kichwani muda gani ndugu?Ukifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zina chukua muda gani ?
Roho Mtakatifu ni Mungu, na siyo munguMungu anasema kupitia roho mtakatifu anayeongoza kanisa kwa viongozi wake!
Mtakatifu wa chato anapumulia mashine india! Nani atakayetupa tena huu ukweli. Msema kweri ni mpenze wa mungu! Nawaambieni kweri ndugu zangu mimi ras wenu ninajua mengi!Baba mtakatifu utuache...hatutaki chanjo wala barakoa ...wazungu wanataka kutuua wote ili wachimbe madini yetu!! Sisi ni matajiri mno...Tumeshastuka...
CCM oyeeee!!
Utadhani hyo elimu ya universe aliitoa babu yako hhhh. Africa my Africa why are you like this? Simu ya kuponda existence ya Mungu kakuletea huyo huyo unaesema kaleta dini miaka ya juzi tu hapa unashuhudia does it mean simu haiexist?Hakuna mungu wala Mungu mkuu, ishi maisha yako vile utakavyo! Ukifa ndiyo mwisho wako, utarudisha hizo protons, neutrons and electrons kwa mmiliki wake, ambaye ni UNIVERSE!
Sijaona sehemu nimeandika mungu bali MunguRoho Mtakatifu ni Mungu, na siyo mungu
Ni kweli uliandika Mungu, isipokuwa impliedly ukiandika roho mtakatifu ni sawa na kusema umeandika neno mungu, na ukiandika Roho Mtakatifu ni sawa na kusema umeandika MunguSijaona sehemu nimeandika mungu bali Mungu
Hiyo unatakiwa umuulize pilipili kichaa, ana historia nzuri sana na "Bange"Kwani bange ina kawaida ya kukaa kichwani muda gani ndugu?