Dkt. Leonard Chamuriho atajwa na Rais kuwa ni mtaalam wa kufanya mazungumzo - "Negotiation Expert". Je, hawa watu tunao wangapi?

Hiyo mikataba ingewekwa wazi ndio tungejua kama kafanya poa au katutia hasara tuu, zaidi ya hapo sioni cha kumsifia au kumkataa kwa utendaji wake
Kweli binadam tumepewa ujuzi

Yani mwanadam anahulka ya kuhoji teena kuhoji huko si kuunga mkono bali huwa na hulka ya kudadisi kwa kupinga!!!! Ni vigumu sana na ni wanadam wqchache wanaokuwa tayr ku appreciate kitu!!! Kama huamn ww omba itokee mtu agawe pesa utaona wwnadam watasema huyu jamaa siku hizi kawa kichaa kumbe kasaidia wengne hata hawakuwa na senti mfukoni!
 
Ondoa huu upuuzi ! Miradi yote Tanzania kulikuwa na majadiliano na bado tukaingia mikataba mavi
 
Weka na mikataba tusome ndugu
Huwa najiuliza mda mwngne asili ya wanajf!!

Hv ushawahi ona wapi mikataba inasiniwa wazi yaani nchi mbili zinazosaini mkataba tena mwananchi nae anapewa wasaa wa kuona kinachisainiwa???? Hivi tunajua maana ya kuwa na viongozi???? Tunajua Rais ni nani na yuko pale kivipi??? Je mawaziri ni kina nani???? Yaani unashndwa kujiuliza swali kwamba hv kwann sheria zinazopitishwa na bunge Letu wananchi huwa hawapewi wasaa wa kuzisoma!????

Kama kuna nchi ushawahi ona inasini mikataba hii kwa uwazi na mwanachi wa kawaidia akashuhudia naomba uzitaje!!!!
 
Ijadilini bungeni ipitiwe basi

Ova
 
Utaalamu wa kuzungumza unakuja pale tu unapokuwa very well conversant na subject matter. Dr. Chamuriho ni jembe na wote waliopita Faculty of Engineering - Civil (FoE) pale UDSM hawatabisha. Sasa peleka vilaza kama Kibajaji, Polepole au Mzee Makamba senior na "utaalamu wao wa kupiga domo" kwenye hizo negotiations uone muziki wake.
 
Npe mfano wa nchi zinzosaini mikataba wazi yaani na wanachi wakihusishwa
Jibu swali!mbn mikataba sahv bunge halishirikishwi .....jumba jeupe wao wanaingia
Wenyewe juu kwa juu au hilo kisheria linaruhusiwa ....

Ova
 
Jibu swali!mbn mikataba sahv bunge halishirikishwi .....jumba jeupe wao wanaingia
Wenyewe juu kwa juu au hilo kisheria linaruhusiwa ....

Ova
Hujielewi ww!?? Yaani niulize swali awali ujibu kwa kuniuliza swali halafu ww ukose haki ya kunijb mie ndo nkujibu


Ona haya basi
 
Sijaona Logic ya ulichoandika Mkuu au sijakuelewa, mada inataka kumsifia mtu kuhusiana na utendaji wake katika sehemu fulani lakini tunachohoji ni kuona weledi kazi aliyofanya maana historia inawahukumu sana viongozi wetu miaka yote tunasikia hawa mabepari wametuibia sana lakini tulikuwa nao kwenye meza ya majadiliano kabla ya kuwaruhusu kuanza kufanya kazi au uwekezaji katika taifa letu. Lengo sio kupinga ni kutaka kuona mambo yakienda sawa kwa uwazi mwisho wa siku hili ni taifa letu sote wote tunataka matokeo chanya.
 
Sasa umeona wapi serikali mbili zinasaini mkataba na wewe mwananchi wa kawaida unapewa nakala usome?

Nambie ni nchi gani hiyo tukaitembelee tujifunze kitu?
Hatuwezi kuwa wa kwanza?
 
Ndugu sio ugomvi upo kwenye kuelimisha na hili ni jukwaa huru weka basi haya bei ya ndege tulionunua kwa kupunguziwa kwa sababu tuna MTU mwenye kujua kuongea vizuri na hayo makampuni
 
Hakuwa anafundisha pekee!
Alikua BICO, wanafanya ushauri elekezi.
Pia alikua NCC.....
BTW: Sijasema lolote kuhusu uwezo wake, natoa facts nazozijua kumhusu.


amebobea wapi sasa huyo ni sawa tu na wale maphd wengine kufundisha udsm sio uexpert ni narudio ya tu unalichosomea kila siku kwa wanafunzi ndo maana mohd wengi wamechemka
 
Kama kawaida yetu kipindi cha makinikia tuliambiwa sisi tupo wachache wao wapo wengi na sisi tumeshinda na wanatulipa [emoji23][emoji23][emoji23] ila mpk leo sijui wameanza kulipwa wakazi wa dsm Noah zao sisi huku mikoani tusubirie kidogo
 
Kwani mikataba mingine ya hovyo ambayo taifa ilikua inaingia nani alikua kwenye nafasi kama ya jamaa huyu unayomzungumzia kwa sababu kama tunafanya appreciation kwa Nazi nzuri tuone pia na majina ya wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…