Dkt. Leonard Chamuriho atajwa na Rais kuwa ni mtaalam wa kufanya mazungumzo - "Negotiation Expert". Je, hawa watu tunao wangapi?

Dkt. Leonard Chamuriho atajwa na Rais kuwa ni mtaalam wa kufanya mazungumzo - "Negotiation Expert". Je, hawa watu tunao wangapi?

Hizi sifa za ziada yaani kuwa nguli / uzoefu kazini ktk kushawishi / kuendesha mazungumzo kwa hoja kuhusu mikataba ya kikanda au kimataifa inayoambatana makubaliano ya kimataifa, treaties, sheria kibao n.k hana.

Ila la eneo lake la kufundisha course /degree za structural / civil engineering sifa / uzoefu anazo.

Lakini katika mikataba yote mitatu muhimu nilioeleza kwenye mada ni ya kimataifa au sio?

Ni mikataba ya kimataifa, ni makubaliano ya kimataifa na ilozingatia sheria.

Nimesema humo kwenye mada kwamba mmoja wa washiriki au washiriki wa kwenye mazungumzo ni kutoka ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali.

Hata wao Misri walishirikisha wanasheria au ?
 
Negotiation Expert lazima awe anajua cultural differences mfano wataalamu wa awamu ya tano swali kuu Je wanafahamu desturi mila za waarabu mbalimbali , wazungu wa nchi tofauti , wachina n.k ili kuweza kuendesha mazungumzo. Hilo eneo la utamaduni ni mojawapo ktk vigezo vingi utambulike kama negotiation expert, Dr. Chamuriho hana vigezo hivyo.
 
Negotiation Expert lazima awe anajua cultural differences mfano wataalamu wa awamu ya 5 wanafahamu desturi mila za waarabu wazungu wachina ili kuweza kuendesha mazungumzo. Hilo eneo la uatamaduni ni mojawapo ktk vigezo vingi utambulike kama negotiation expert. Dr. Chamuriho hana vigezo.

Lakini ameshiriki kwenye mazungumzo na mikataba mitatu imesainiwa na sasa ipo inatekelezwa.

!., Tunangoja ndege zingine mpya (brand new) zilizobakia ziwasili mwakani.

2. Reli ya standard Gauge inatandazwa hivi sasa.

3. Kampuni ya Arab Contractors itaanza kazi huko kwenye mto Rufiji.

Hayo yote yametokana na juhudi za Dr Chamuriho, kwa mujibu wa raisi John Magufuli mwenyewe.

Sasa sifahamu ndugu yangu umesimamia wapi kwenye kubisha?
 
Lakini ameshiriki kwenye mazungumzo na mikataba mitatu imesainiwa na sasa ipo inatekelezwa.

!., Tunangoja ndege zingine mpya (brand new) zilizobakia ziwasili mwakani.

2. Reli ya standard Gauge inatandazwa hivi sasa.

3. Kampuni ya Arab Contractors itaanza kazi huko kwenye mto Rufiji.

Hayo yote yametokana na juhudi za Dr Chamuriho, kwa mujibu wa raisi John Magufuli mwenyewe.

Sasa sifahamu ndugu yangu umesimamia wapi kwenye kubisha?

Ndiyo maana mikataba mingi tunapigwa sana, utaalamu huu wa ku- negotiate na hatimaye kusaini mikataba ni zaidi ya lugha, kuna vigezo vingi. Soma dondoo hii fupi itupatie picha kubwa Gonga link hii :
Overcoming Cultural Barriers in Negotiations and the Importance of Communication in International Business Deals
 
Na Dr Chamuriho ndo atakuwa wa kwanza kufikishwa mahakamani kwa ufujaji wa pesa zetu....

1544891050080.png

1544891019875.png
 
Naona umechanganya mada kidogo.

Hapa twamwongelea Dr Chamuriho.

Umesema amefuja pesa zenu.

Nikakuuliza amefuja wapi na vipi?

kama unashindwa ku-connect dots na ku cross the T then uwezo wako wa kufanya analysisi upo level ya kawaida sana
 
Katika hizo negotiations, sisi hatuna tujuacho zaidi ya "matokeo".

•Tumepata matokeo ya manunuzi ya ndege mpya
•Tumepata matokeo ya makubaliano ya ujenzi wa SGR
•Tumepata matokeo na hatimaye utiaji saini wa ujenzi wa Steigler's Gorge.

Ambacho hatujui, na sijui kama tunahitaji kujua kama walipa kodi au vipi ni
• NINI hasa kilichomo humo kwenye hayo makubaliano?
• Tunafaidika/tumefaidika vipi na hizo negotiations kama taifa?
• Makosa yatakayo fanyika, nani atakuwa responsible?

Kuna faida/hasara gani kutegemea kundi moja la watu wachache kufanya negotiations kubwa kubwa zote?

Ninachojua, Kila mtu na mtuwe. Mh. Magufuli ana watu wake anaowaamini, lazima awasifie coz wanamsikiliza na kufanya anachotaka. Hata JK alikuwa na kundi la watu wake aliokuwa anawaamini.
 
Hata prof. Mruma nae alisifiwa sana kwenye makinikia lakini vip mwisho wake!!!!?
 
Cultural complexity speaker Erin Meyer breaks down critical elements of international communication affecting day-to-day interactions in an increasingly connected globe.
 
Wenzetu wamejitayarisha kwa kujaribu kujifunza desturi na tabia za wengine ili kuweza kuwa ktk nafasi nzuri ya majadiliano kuelekea kutiwa saini mikataba ya aina mbalimbali kimataifa. Soma andiko hili hapa chini :

Cultural Differences Between Arabs and Danes :

The Intracultural Diversity’s Effect on
Intercultural negotiations

Ahmed Hamdoun Al-Soufi
A Master thesis in EU Business and Law

Cultural differences are one of the main reasons for the unsuccessful, unpredictable, and insufficient business conducting in the region.

Most of the European businessmen including the Danes are aware of culture differences and its influence on doing business, therefore,they study national culture-differences, organizational culture-differences, and interculturalcommunications, but still they can’t figure what went wrong when they can’t fulfill their goal in doing business with the Arabs.

I think the main issue here is that the vast majority of the European business schools and research centers make their cross-cultural knowledge by focusing on Western vs. Eastern cultural perspective, assuming that since Arab countries are collectivists like other Easterners, they can approach them the same way they do approach other Asians, nevertheless, the most sensitive European business people toward cultural differences, who assume that the Arab have their own culture, which is different than other Asian cultures, do put the Arabs all in the same basket. This is a huge mistake man can attribute.

Arabs are not the same, there are a big culture differences between Arabs
themselves.

Doing business in Saudi Arabia is very different than doing business in Dubai, Egypt, or Iraq. The firm, which is already, performs successfully in Egypt cant build on its prior cultural knowledge to make its entry to the Saudi’s market; if it did so then I think it is in a real problem.

Fore all these reasons I think it is important to study the Arabic culture in general, the
differences that lies between the national and ethnical cultures in the Arab countries, and its influence on doing business and especially negotiating with the Danes. Such a study can give the Danish business people an over look on the Arabic culture in general and the cultural differences between the Arabs, the Danish corporation can probably gain an extra competitive advantage by learning little bit about their close neighbors’ culture. To do this ......
Source : www.pure.au.dk
 
Raisi John Magufuli alitoa hotuba ya kuzungumzia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa bwawa la kufua umeme wa Stiegler Gorge kwenye mto Rufiji.

Kwenye hafla hiyo Misri wamekuja na wajumbe zaidi ya 100 wakiongozwa na waziri mkuu wao pamoja na wawakilishi wa kampuni ya Arab Contractors ambao ndo watakaojenga bwawa la Stigler Gorge.

Kwa mujibu wa raisi John Magufuli mwenyewe, mazungumzo kati ya pande mbili za Tanzania na Misri yalikuwa ni mazito na yalochukua muda kuyamalza hadi kufikia makubaliano.

Kwenye mazungumzo hayo Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na ujumbe wa watu wasozidi 15 ambao ni raisi mwenyewe aliwachagua kwa kushirikiana na waziri wa ujenzi.

Mwenyekiti wa timu ya Tanzania ni Dr Leonard Chamuriho ambae ni katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi.

Ndani ya timu ya Tanzania kuna wajumbe kutoka TANROAD, Tanesco, Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, Hazina, TRA. wizara ya nishati, Ofisi ya raisi (bwana H. Ubwa) na ofisi ya Mazingira.

Hawa ni wataalam wa ujenzi, wataalam wa nishati ya umeme, sheria, usalama, fedha na mazngira.

Lakini mwenyekiti wa timu hii bwana Leonard Chamuriho nde mtaalam wa kufanya mazungumzo yaani Negotiation Expert.

Jambo jingine lilillojenga udadisi ni kusikia kwamba Dr Chamuriho ndie alieshiriki kufanikisha ununuzi na uletwaji wa ndege mpya za ATCL nchini Tanzania.

Pia Dr Chamuriho ameshiriki kwenye mazungumzo ya kujenga reli ya umeme ya Standard Gauge Railways kama mtaalam wa kufanya mazungumzo yaani Negotiation Expert.

NI jambo la kujivunia kuona kwamba nchi yetu inao wataalam ambao wanaweza kufanikisha mambo mengi ya kuleta tija kwa taifa letu.

Ni vizuri nchi yetu inawatunza watu wa aina hii na kuwawezesha kuachia ujuzi wao kwa vizazi vijavyo ili kuiwezesha nchi yetu kufikia kwenye nchi khasa ya asali na maziwa.

Nini maana ya "Negotiation" yaani mazumgumzo baina ya pande mbili?

Hii ni njia ya kufanya nazungumzo maalum ambayo yanalenga kufikia makubaliano ili kuondoa tofauti.

Ni utaratibu ambapo makubaliano au muafaka unafikiwa huku migongano na kutoafikiana vikiondolewa na kisha kusaini makubaliano hayo kisheria mbele ya mashahidi.

Kama hakutakuwa na kukubaliana basi wahusika wa mazungumzo hayo huendelea kufanya vikao kwa malengo ya kufikia muafaka ambao unanufaisha pande zote mbili.

Cha msingi katika kufanya mazungumzo hayo ni kuwepo kwa usawa yaani fairness, kila mmoja kunufaika, na kuendeleza ushirikiano.

Hivyo Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano baina yao na kuhakikisha ujenzi wa bwawa la Stigler Gorge linamalizwa kwa kuda ulokusudiwa.

Utaratibu wa kufanya mazungumzo yaani Process of negotiation.

1. Maandalizi
2. Majadiliano
3. Kutanabaisha malengo ya majadiliano.
4. Kuafikiana kuelekea kila mtu kushinda kwa upande wake yaani "win-win outcome"
5. Makubaliano yaani agreement
6. Utekelezaji wa hatua za makubaliano.

Kuna wakati majadiliano huwa ni aina mbili yaani formal na informal kwamba pande mbili zinaweza kuamu kuzungumzia mambo yanayojadiliwa nje ya vikao au ndani ya vikao au ikawa ni siri kabisa.

Ila inapotokea kunakuwa na kutokukubaliana (suala la Acacia) basi hatua hizo hapo juu katika utaratibu mzima wa mazungumzo zinaachwa pembeni na kunabakia kwenye namba 2 yaani majadiliano ambayi huwezi kuchukua muda mrefu.

Dr Leonard Chamuriho anao ujuzi wa kufanya mazungumzo yaani kwa kiingereza twasema "he has negotiation skills" ambazo ni adimu sana.

Kitendo cha raisi John Magufuli kumtaja bwana Leonard Chamuriho kwamba aliihusika na mazungumzo iya ununuzi wa ndege na pia ujenzi wa reli ya Standard gauge na sasa kuhusika na mazungumzoi ya ujenzi wa hili bwawa na Stigler Gauge, hilo ni jambo jema kwamba nchi yetu inao wataalam.

Ningependa kufahamu je wataalam kama hawa ambao mara nyingi ni wachache kuwa nao hupatikana wapi?

Je, Tanzania inao wataalam wa kutosha wa kufanya mazungumzo kuhusu miradi mikubwa ya serikali?

Je miaka yote hiyo wataalam hawa walikuwa wapi?

Na kama Dr Chamuriho ni katibu mkuu wa wizara kwanini asiwe na ofisi maalum na akawa ana wigo mpana zaidi ambao utamwezesha kuajiri vijana ambao wana utaalam wa kufanya mazungumzo?

Umetumwa au? Umekuja kumsifia mtu bure kabisa, stop this arrogance, yeyote mwenye IQ kubwa ktk field fulani, anaweza kuwa negotiation expert mzuri sana ktk field hivyo, hivyo nothing so special.. Acha ungese..!!
 
Wacha mbwembwe weka mkataba wazi tuone pumba zilizopo unaficha mkataba unakuja kusema jamaa ni expert?
Chizi kweli ww
 
Umetumwa au? Umekuja kumsifia mtu bure kabisa, stop this arrogance, yeyote mwenye IQ kubwa ktk field fulani, anaweza kuwa negotiation expert mzuri sana ktk field hivyo, hivyo nothing so special.. Acha ungese..!!

Moja ya sifa yetu hapa ni kutumia lugha ya kistaarabu.

Respect ni njia mbili za barabara zinazopishana.
 
Raisi John Magufuli alitoa hotuba ya kuzungumzia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa bwawa la kufua umeme wa Stiegler Gorge kwenye mto Rufiji.

Kwenye hafla hiyo Misri wamekuja na wajumbe zaidi ya 100 wakiongozwa na waziri mkuu wao pamoja na wawakilishi wa kampuni ya Arab Contractors ambao ndo watakaojenga bwawa la Stigler Gorge.

Kwa mujibu wa raisi John Magufuli mwenyewe, mazungumzo kati ya pande mbili za Tanzania na Misri yalikuwa ni mazito na yalochukua muda kuyamalza hadi kufikia makubaliano.

Kwenye mazungumzo hayo Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na ujumbe wa watu wasozidi 15 ambao ni raisi mwenyewe aliwachagua kwa kushirikiana na waziri wa ujenzi.

Mwenyekiti wa timu ya Tanzania ni Dr Leonard Chamuriho ambae ni katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi.

Ndani ya timu ya Tanzania kuna wajumbe kutoka TANROAD, Tanesco, Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, Hazina, TRA. wizara ya nishati, Ofisi ya raisi (bwana H. Ubwa) na ofisi ya Mazingira.

Hawa ni wataalam wa ujenzi, wataalam wa nishati ya umeme, sheria, usalama, fedha na mazngira.

Lakini mwenyekiti wa timu hii bwana Leonard Chamuriho nde mtaalam wa kufanya mazungumzo yaani Negotiation Expert.

Jambo jingine lilillojenga udadisi ni kusikia kwamba Dr Chamuriho ndie alieshiriki kufanikisha ununuzi na uletwaji wa ndege mpya za ATCL nchini Tanzania.

Pia Dr Chamuriho ameshiriki kwenye mazungumzo ya kujenga reli ya umeme ya Standard Gauge Railways kama mtaalam wa kufanya mazungumzo yaani Negotiation Expert.

NI jambo la kujivunia kuona kwamba nchi yetu inao wataalam ambao wanaweza kufanikisha mambo mengi ya kuleta tija kwa taifa letu.

Ni vizuri nchi yetu inawatunza watu wa aina hii na kuwawezesha kuachia ujuzi wao kwa vizazi vijavyo ili kuiwezesha nchi yetu kufikia kwenye nchi khasa ya asali na maziwa.

Nini maana ya "Negotiation" yaani mazumgumzo baina ya pande mbili?

Hii ni njia ya kufanya nazungumzo maalum ambayo yanalenga kufikia makubaliano ili kuondoa tofauti.

Ni utaratibu ambapo makubaliano au muafaka unafikiwa huku migongano na kutoafikiana vikiondolewa na kisha kusaini makubaliano hayo kisheria mbele ya mashahidi.

Kama hakutakuwa na kukubaliana basi wahusika wa mazungumzo hayo huendelea kufanya vikao kwa malengo ya kufikia muafaka ambao unanufaisha pande zote mbili.

Cha msingi katika kufanya mazungumzo hayo ni kuwepo kwa usawa yaani fairness, kila mmoja kunufaika, na kuendeleza ushirikiano.

Hivyo Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano baina yao na kuhakikisha ujenzi wa bwawa la Stigler Gorge linamalizwa kwa kuda ulokusudiwa.

Utaratibu wa kufanya mazungumzo yaani Process of negotiation.

1. Maandalizi
2. Majadiliano
3. Kutanabaisha malengo ya majadiliano.
4. Kuafikiana kuelekea kila mtu kushinda kwa upande wake yaani "win-win outcome"
5. Makubaliano yaani agreement
6. Utekelezaji wa hatua za makubaliano.

Kuna wakati majadiliano huwa ni aina mbili yaani formal na informal kwamba pande mbili zinaweza kuamu kuzungumzia mambo yanayojadiliwa nje ya vikao au ndani ya vikao au ikawa ni siri kabisa.

Ila inapotokea kunakuwa na kutokukubaliana (suala la Acacia) basi hatua hizo hapo juu katika utaratibu mzima wa mazungumzo zinaachwa pembeni na kunabakia kwenye namba 2 yaani majadiliano ambayi huwezi kuchukua muda mrefu.

Dr Leonard Chamuriho anao ujuzi wa kufanya mazungumzo yaani kwa kiingereza twasema "he has negotiation skills" ambazo ni adimu sana.

Kitendo cha raisi John Magufuli kumtaja bwana Leonard Chamuriho kwamba aliihusika na mazungumzo iya ununuzi wa ndege na pia ujenzi wa reli ya Standard gauge na sasa kuhusika na mazungumzoi ya ujenzi wa hili bwawa na Stigler Gauge, hilo ni jambo jema kwamba nchi yetu inao wataalam.

Ningependa kufahamu je wataalam kama hawa ambao mara nyingi ni wachache kuwa nao hupatikana wapi?

Je, Tanzania inao wataalam wa kutosha wa kufanya mazungumzo kuhusu miradi mikubwa ya serikali?

Je miaka yote hiyo wataalam hawa walikuwa wapi?

Na kama Dr Chamuriho ni katibu mkuu wa wizara kwanini asiwe na ofisi maalum na akawa ana wigo mpana zaidi ambao utamwezesha kuajiri vijana ambao wana utaalam wa kufanya mazungumzo?
"Mazungumzo na Misri yalikuwa mazito na yalichukua muda mrefu"

Why??? Kwanini???? Hatari???? Wanaumeeee??????
 
Timu ya Dr. Leonard M. Chamuriho ktk picha / video iliyohusika ktk majadiliano na Waarabu wa Egypt :
12 Dec 2018
Rais Magufuli amekitaja ‘kikosi cha makamanda’ kilichotumika katika majadiliano ya mradi wa Stiegler's Gorge na kuwaongezea muda wa kufanya kazi wale ambao muda wao wa kustaafu ulikuwa

 
Back
Top Bottom