The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Tatizo mnyama mbishi hadi Israel mwenyewe kamgwaya na kumpotezeaDaah maskini unatia huruma sana kwa hio bado upo nchi inayotawaliwa na mnyama kama unavyosema si ukamfukuze uingie wewe ulingoni
Siku hizi kwa wengi dozi ni mara moja tu kwa siku.btw, umenichanganya na Drone Camera
mi nipo jukwaani umu kutwa mara 3 kama dozi ya ARV
Ameacha wosiaDuh sasa nani anarithi zile trilioni, bilioni sijui mamilioni yake yale.
Hata mimi huu unafki unanikera sana.Sasa hivi utaona ndugu nao kujifanya wana huruma wakati wa uhai hawakumsaidia hata matibabu.
Tutuzame pande zote za shilingi. Pitia taarifa kumuhusu yeye na familia yake na utaona nini kiliendelea na kwa nini pengine hawakufanya hicho ulichotarajia.Sasa hivi utaona ndugu nao kujifanya wana huruma wakati wa uhai hawakumsaidia hata matibabu.
Tatizo mnyama mbishi hadi Israel mwenyewe kamgwaya na kumpotezea
Innalillah wainna ilayh rajiuun....huko ndio kwao na Yale mabasi ya nyehunge?Kuna jumbe zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kumuhusu Dr. Shika kwamba ametutoka na atazikwa kwao Nyehunge.