Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisamimi sio ccm, ila nakula tu 7000 za Lumumba
Hizo ndiyo roho mbaya za sisi watu weusi,Sasa hivi utaona ndugu nao kujifanya wana huruma wakati wa uhai hawakumsaidia hata matibabu.
Ri
Rip kaiacha Tanzania bado inatawaliwa na Mbwa.
Mkuu kwao siyo NYEHUNGE ni NYANGUGE Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza. Tafadhali fanya sahihisho sehemu hiyo.Kuna jumbe zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kumuhusu dr.shika kwamba ametutoka na atazikwa kwao Nyehunge.
Duh...bas najua wewe ndo drone camera...niwie Radhi kweli nimejichanganya...nilishazoea kumnanga na CCM yake ..sorrybtw, umenichanganya na Drone Camera
mi nipo jukwaani umu kutwa mara 3 kama dozi ya ARV