captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 634
btw, umenichanganya na Drone Camera
mi nipo jukwaani umu kutwa mara 3 kama dozi ya ARV
ARv ni kutwa mara1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
btw, umenichanganya na Drone Camera
mi nipo jukwaani umu kutwa mara 3 kama dozi ya ARV
CCM Ni mashetani kabisaKatika wosia uliosomwa Leo marehemu kweli kasoma Urusi tena udaktar wa binadamu ngazi ya juu kabisa
Kusoma Urusi halafu kuja kuishia kulala mnazi mmoja nje. Dah kaishi maisha ya ajabu.Katika wosia uliosomwa Leo marehemu kweli kasoma Urusi tena udaktar wa binadamu ngazi ya juu kabisa
Unaipenda sana CCM kisirisiri.Aliwahi kutumikishwa na ccm baada ya kupata umaarufu , balaa lilianzia hapo
Siwezi kumkufuru Mungu kupenda watekajiUnaipenda sana CCM kisirisiri.
Kusoma Urusi halafu kuja kuishia kulala mnazi mmoja nje. Dah kaishi maisha ya ajabu.
Msimsingizie Mungu. Mungu katuumba kwa mfano wake. Mtu ulale nje mnazi mmoja na ulisoma ili uwe na maisha mazuri then unasema ni mpango wa Mungu. Big NO.Only God knows what tomorrow holds for anyone. Mtu anaweza kuseleleka kutoka President mpaka prisoner for life!
Link ipi ?Naomba link
Nenda YouTube kuna habari zake kibao. Wewe andika DR Shika tu.Inayoonyesha mzee kasoma nje.. kaniuma sana huyu mtu