Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

dah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we utakuwa unajitafutia maumivu sio umaarufu
 
Kazaliwa mwaka 70 nyerere kastaafu 80+.sijui anakuaje kichwa cha nyerere
Kama mwaka 1977- 1979 mwishoni Dr Shika alikua Mbeya M.T.C akisoma course ya Clinical Oficer (C.O) zamani waliitwa Medical Assistant, Kule chuoni Mbeya alikuwa anaitwa Lunyalula Kidola na alikuwa Rais wa chuo.

Mkuu, ebu usitilishe matango pori tafadhali...
 
Kuna clip nimeipata ngoja niitupie, uone Dr Shika anavyo zungushwa na akiwapungia wananchi mkono kama miheahimiwa Rais....[emoji13] [emoji13]
Nimecheka hadi machozi, huyu mzee aanze kulipwa na serikali, katupunguzia sana stress aiseeee, yani anatembea kwenye gari ya wazi huku anapunga mkono,,,,, Ila nilikua najizuia kucheka kutokana na sehemu na watu nilionao, nimejikuta kicheko na ushuzi vimetoka kwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…