TheGreatAssethi
Member
- Sep 22, 2020
- 85
- 28
Anakuwa kama mzimu wa Dada LisuHakika aseme tujue maana naona anatapika tapika hovyooo tuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuwa kama mzimu wa Dada LisuHakika aseme tujue maana naona anatapika tapika hovyooo tuuu
HAwana cha kujibu mbuzi haoKwa lipo kafanya mjomba hahhaha tuje jibu hapa kafanya lipi kwanza.
Wewe na unayejibizana nae tumieni hekima na lugha zenye staha - uchaguzi unafika kila mmoja atapigia upande aupendao - msitoane macho kwa sababu ya uchaguzi na vyama vya siasambona mke ninaye, huyo unayemuita baba yako ni wa kufikia, baba yako ni mimi!
Hongera ndugu una akili hakika,ila tuwe wa kweli Wapinzani wanapenda uongo tuu kila muda,kwanini wasiongee ukweli tuu?Wewe na unayejibizana nae tumieni hekima na lugha zenye staha - uchaguzi unafika kila mmoja atapigia upande aupendao - msitoane macho kwa sababu ya uchaguzi na vyama vya siasa
Soma ilani.
Haiwezi kutaka haki wakati hakuna amani mjomba acha uchawi soma strategies ujue kipi kinatakiwa kianze katika mipango ya maendeleo hahahhaha
Tujionee manyaraaaWewe na unayejibizana nae tumieni hekima na lugha zenye staha - uchaguzi unafika kila mmoja atapigia upande aupendao - msitoane macho kwa sababu ya uchaguzi na vyama vya siasa
Arusha kuna jambomuulize mama yako kama najifunza atakupa undani
Hahahahahha akili zako kama nguruwe wewembwa koko ni wewe na baba yako, not me!
Jionee mwenyewe kwa hili.mbwa koko ni wewe na baba yako, not me!
hivi ghosryder ni jike?Yaani wewe kumuona Magufuli mungu wako basi unataka wote wawe kama wewe..?
Pumbavu mbona mmeo ameshindwa kujibu hoja ya WASIOJULIKANA.?? wewe ndio unamjibia
Wewe una macho na masikio ilaWe kila siku maneno yako ni haya haya ya kipumbavu kila inapowekwa komenti yoyote inayomuhusu mhe Rais Magufuli, kwani we ulimuona ameshika bunduki anamlenga huyo kichaa mwenzenu!!? Unakera sana weye ng'ombe.
Pasipo na amani hata hicho kibarua ungekipata mjomba.Inaanza haki ndo inakuja amani..bila haki hakuna amani.
Mfano wewe umefanya kazi na mtu kwa makubaliano ya ujira fulani,ukimaliza hiyo kazi vile inavyostahili inabidi upewe ujira wako(hiyo ndo haki yako) ukishapewa moyoni mwako utajisikia furaha na amami hapo hakutakua na mgogoro wowote(Amani imedumishwa) ila usipopewa ule ujira(haki) lazima utaanza lalamika au utaanza ugomvi(Umekosa Amani) kwahiyo usijitie upofu Haki huanza ndo amani inafuata...
Ukiwemo weweThe Hague inawahusu
Hivi kwanini msije tuongee kwa hoja tusitupiane maneno maneno,yani leteni maendeleo yenu na sisi tuwaambie nini tumefanya,ccm ina mengi ya kuongeaCCM ndio wanaochochea fujo kwa
vitendo vyao kwa kukataa kuwaapish
a mawakala wa vyama vya upinzani
pasipo sababu za msingi
Ntajie wakala ambaye hajaapishwa acha kuleta habari za uchochezi hapa kuku weweCCM ndio wanaochochea fujo kwa
vitendo vyao kwa kukataa kuwaapish
a mawakala wa vyama vya upinzani
pasipo sababu za msingi
Yepi hayo zaidi ya sgr, Ndege, flyoverHivi kwanini msije tuongee kwa hoja tusitupiane maneno maneno,yani leteni maendeleo yenu na sisi tuwaambie nini tumefanya,ccm ina mengi ya kuongea
Sababu ya kuhesabu kura?The Hague inawahusu