mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Thibitisha hapa akiwa anaamrisha wizi usikuMagufuli mchana anahutubia Amani Usiku anaamrisha Wizi wa Kura na utekaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha hapa akiwa anaamrisha wizi usikuMagufuli mchana anahutubia Amani Usiku anaamrisha Wizi wa Kura na utekaji
Chini ya utawala wa Magufuli watu wengi wamepotea na kuuwawa na kushambuliwa kwa risasiThibitisha hapa akiwa anaamrisha wizi usiku
Mbona watu hatuoni wakipungua mitaani? Idadi ya waliopotea ni wangapi? Ndugu zao mbona wapo kimya?Chini ya utawala wa Magufuli watu wengi wamepotea na kuuwawa na kushambuliwa kwa risasi
Ukiwa CCM huwezi kuyaonaMbona watu hatuoni wakipungua mitaani? Idadi ya waliopotea ni wangapi? Ndugu zao mbona wapo kimya?
It might be, sasa kama tuna mtaji wote huo kwa nini tunasumbuka na tume - huenda wanaccm nao wasiwe nyuma yako hasa wale waliokatwa kura za maoniJionee mwenyewe kwa hili.View attachment 1611388
Chini ya utawala wa Magufuli watu wengi wamepotea na kuuwawa na kushambuliwa kwa risasi
Nithibitishe nini sasa?Unaweza kuthibitisha hilo?
Umequote nini sasaNithibitishe nini sasa?
Kwa sheria ipi?KURA ZA UBUNGE NA URAISI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA JIMBONI, HAZITAHESABIWA KWENYE VITUO VYA KUPIGIA KURA
KURA ZA UDIWANI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA MAKAO MAKUU YA KATA (KATANI)
WAPINZANI HAMPATI KITU.
KUWENI MAKINI
Haki ndo nini? Au kunyanduana marinda kama kina wakili AmsterdamAongoze nchi kwa kufuata misingi ya Haki sawa kwa wote, Amani itakuja yenyewe
Mahakama ilishakufa hiyoThe Hague inawahusu
Mama D hebu mpikie mumeo asije kukuta jiko limenuna na wewe unachati.Umequote nini sasa
Rudi kasome vizuri uelewe
Ukiwa Ccm huwezi kuona matukio mabaya?Ukiwa CCM huwezi kuyaona
Mimi tokea nihamie Chadema pikipiki zangu zimekuwa zikiandamwa na kukamatwa kila sikuUkiwa Ccm huwezi kuona matukio mabaya?
Mnaompenda jiwe wengi vilaza so sishangai.Haya ndio yatakayotupatia KURA na sio hujuma hizo zenu,mnataka mshindwe muingie mtaani,aiseee tunasema karibuni ila kitakachowakuta mtajilaumu sana.
Hhahahha mabomu ya machozi mtakufa nayo.View attachment 1611372View attachment 1611373
Hizo kura mbona hata 9ML huwa hamfikishi..?Jionee mwenyewe kwa hili.View attachment 1611388
Zitakuwa na makosa,trafick lazima wazidake.Mimi tokea nihamie Chadema pikipiki zangu zimekuwa zikiandamwa na kukamatwa kila siku