Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akemea wanasiasa wanaochochea fujo

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akemea wanasiasa wanaochochea fujo

Unaidharau Belgium........ inaweza kuilisha Tazania miaka 100 kila mtanzania anakuna laki kila siku!😀😀😀😀😀😀😀

Belgium is the sixth richest country in the world: this has been confirmed in the recent edition of the Allianz Global Wealth Report 2016. GDP per capita in Belgium is expected to reach 46000.00 USD by the end of 2020,​


GDP in Tanzania is expected to reach 50.00 USD Billion by the end of 2020

Belgium country profile​

Published2 October
Map of Belgium

For such a small country, Belgium has been a major European battleground over the centuries.
Occupied by Germany during the First and Second World Wars, it has experienced an economic boom in the past 50 years to become a model Western European liberal democracy.
However, there has also been a growing divide between the mainly Dutch-speaking north and the mainly French-speaking south, as well as concerns about the growth of Islamic extremism among immigrant communities in the capital, Brussels.
Brussels is the headquarters of the European Union and the North Atlantic Treaty Organisation (Nato), making it the polyglot home of an army of international diplomats and civil servants.

Key facts - Kingdom of Belgium​

Capital: Brussels​

  • Population 11.5 million
  • Area 30,528 sq km
  • Major languages Dutch, French
  • Life expectancy 79 years (men), 84 years (women)
  • Currency euro
  • Major religion Christianity
UN, World Bank

Mtanzania usiyejua kujivunia nchi yako
ya kaisari mpe kaisari
CHA MTANZANIA MPE MTANZANIA CHA MBELIGIJI MPE MWENYEWE
HAYA ELEZEA TANZANIA KUNA VOHA YA BURE APA
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
akemee tumeccm kwanza na wakurugenzi pamoja na polisiccm
 
We kila siku maneno yako ni haya haya ya kipumbavu kila inapowekwa komenti yoyote inayomuhusu mhe Rais Magufuli, kwani we ulimuona ameshika bunduki anamlenga huyo kichaa mwenzenu!!? Unakera sana weye ng'ombe.
ukweli lazima uwakere,endeleeeni kukereka
 
Zimebaki siku 3
Ifikapo Oktoba ukiwa ndani ya chumba cha kupiga kura usipate shida sana
Picha ya kwanza Katika kibox cha kwanza ni CCM utakuta picha ya mwanamama SAMIA SULUHU na inafatia picha ya DK.JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI #magufuli mbele weka alama✅ ndani ya kibox
#ChaguaMagufuli
 
We kila siku maneno yako ni haya haya ya kipumbavu kila inapowekwa komenti yoyote inayomuhusu mhe Rais Magufuli, kwani we ulimuona ameshika bunduki anamlenga huyo kichaa mwenzenu!!? Unakera sana weye ng'ombe.
Kama sio afisa kipenyo bila shaka ni JESKA

Sio kwa povu hilo
 
We kila siku maneno yako ni haya haya ya kipumbavu kila inapowekwa komenti yoyote inayomuhusu mhe Rais Magufuli, kwani we ulimuona ameshika bunduki anamlenga huyo kichaa mwenzenu!!? Unakera sana weye ng'ombe.
Wewe ndie unakera.huyo magufuli wako ni muuaji ambae hajifichi.
Ni muuaji,tunamchukia kwa ajili ni muuaji tutakupigia yowe na huyo mtu wako.
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA[emoji736]
Meko ni mentalcase yeye ndio muuaji na kutaka abakie madarakani,kura haibi hata moja tunapiga na kulinda kura vituoni
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
Mtukufu magufuli aache kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani aache uonevu unyanyasaji uovu mateso kwa wapinzani
 
Mleta bandiko acha uongo, kura zote Zina hesabiwa kituoni mbele ya Mawakala, baada ya hesabu matokeo yanajazwa kwenye fomu ambayo kila wakala ana pewa nakala izo fomu Zina sainiwa na Mawakala wote. Baada ya Mawakala ku saini fomu za matokeo msimamizi ana bandika nakala ya matokeo iliyo sainiwa na Mawakala katika kituo husika.

Baada ya matokeo kubandikwa maboksi ya kura pamoja na kura zilizokwisha kuhesabiwa yanakwenda kwenye kata kwa majumuisho na apo wakimaliza yanakwenda wilaya kwa majumuisho.uko kote kuna Mawakala wa vyama.
Polisiccm na NECCCM Tumeccm kutaka kuibeba CCM kwa njia haramu za kishetani ndiyo watasababisha vurugu kubwa ni vyema ACT na chadema wawashitaki ICC mapema kwa viashiria vyao vya kuandaa mazingira ya wizi wa kura uchakachuaji na mbinu nyingi za hovyo kuiokoa CCM yenye hali mbaya kutokana na watu kuchoka na mateso na manyanyaso ya udikiteta wa kaburu Mkoloni mweusi tokea chato
 
Ulikuwepo bwana wewe? Nasikitika baadhi ya watanzania wamechotwa na ulaghai wa lissu!ila niwaambie tu lissu hatokaa kupigania taifa hili lissu amegombea kwa
Personal interest za kwake!na sio taifa ! Na ndio maana jana amekiri kuwa na tiketi ya kuondoka mara tu baada ya uchaguzi!
Watanzania wa wapi unawasemea? au watanzania wako binafsi hapo unaposhinda ukivuta Bangi? Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anapenda watu waonewe wabambikiwe kesi wapigwe risasi wafanyabiashara kubambikiwa kodi TRA kupewa kesi za uhujumu uchumi huku BOT wakiwapora watu pesa zao kisha kuwatishia kesi za utakatishaji pesa, Nchi imevurugwa hakuna HAKI Mkoloni kaburu mweusi anawatesa watu.
 
Hebu peleka ujinga wako, lissu amekuwa wa kwanza kunadi vurugu, na kwa uwezo wa mungu tarehe 28 tutashinda na amani itaendelea kutawala....
Chaguo langu ni Magufuli [emoji169][emoji172][emoji736][emoji736]
Wewe ndiyo mjinga mkubwa mungu wa wapi atakubali upumbavu wa CCM kutumia Polisiccm NECCCM Tumeccm kuwahujumu wapinzani
 
Rais Magufuli anamaliza kipindi chake cha miaka mitano bila kuwepo na makundi ya udini wala ukabila. Katika majukwaa mbalimbali Rais Magufuli amekuwa akiwataka Watanzania kuwa wamoja, na kauli yake maarufu ni kwamba “Maendeleo hayana chama, dini, wala kabila.” Anatambua kwamba nchi ikishatumbukia katika udini na ukabila, basi hapatakuwa na Tanzania ya Watanzania hivyo kwa kauli yake hii Watanzania wamekuwa wamoja na ni umoja huu uliyowafanya Watanzania kwa pamoja kuwa na amani.
Lile kundi lilioanzishwa na Rashid Gwajima la kuwataka wasukuma waungane ni kundi la kiroho au sio ?
 
Huyo ni kiuno cha pweza kweli aiseee,MAGUFULI ANALETA MAENDELEO YEYE AMEKAZANIA UONGO TUU.

Nachukia upotoshwaji wa hawa mbwa wa kipinzani mimi aiseee.


Magufuli ndio Raisi wetu 2020-2025
Magufuli analeta maendeleo kwa pesa zake binafsi tokea mfukoni? au kwa pesa za walipa kodi? Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? Wewe ndiyo mbwa acha ufala wako usifikiri watanzania ni wapumbavu kama wewe
 
CCM ndio wanaochochea fujo kwa
vitendo vyao kwa kukataa kuwaapish
a mawakala wa vyama vya upinzani
pasipo sababu za msingi
ICC tayari wapo Tanzania wanaandaa list ya miccm inayoleta ujinga kwa kuwatumia Polisiccm na NECCCM Tumeccm kusababisha vurugu
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA[emoji736]
Hii ni sawa na kukemea pombe lakini unakunywa wine . Ukiamini pombe ni bia tu. Wanywaji wenzangu mmenielewa
 
Chini ya utawala wa Magufuli watu wengi wamepotea na kuuwawa na kushambuliwa kwa risasi
Hata BOT imewapora watu pesa nyingi walizotumiwa toka nje ya Nchi na kuvunja rekodi ya kuwa benk zulumati kupita bank zote Duniani, utawala wa mtukufu magufuli ni utawala wenye manyanyaso mateso makubwa kwa wananchi
 
Hii ni sawa na kukemea pombe lakini unakunywa wine . Ukiamini pombe ni bia tu. Wanywaji wenzangu mmenielewa
CCM hawana mfano wa kuigwa hata mmoja kwani wamejaa ushetani usio na kifani
 
Back
Top Bottom