Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana aiseee,kura yako kwa magufuliHizo kura mbona hata 9ML huwa hamfikishi..?
Au mnahesabu na marehemu pamoja wanaochukua kadi ili wapige ela wajinga..(huku wapo vijana wengi wenye kadi) spesho kwa kupiga ela tu sio kura
Ndugu Mtanzania Mwenzangu kwa pamoja tuna jukumu la Kuchagua Kiongozi ambaye ataweka mbele maslahi mapana ya Taifa letu na mwenye nia ya dhati ya kuliletea Maendeleo Taifa letu..Tuungane kwa Pamoja tukampigie Kura Ndugu Dr.John Pombe Magufuli ambaye ameonyesha dhahiri maono yake na uwajibikaji wake kwa maendeleo ya Taifa letu .Tar 28Oct2020 TUMCHAGUE DR.MAGUFULI KWA MASLAHI MAPANA YA TANZANIA....🙌🏻🙏🏼TUMPE MITANO TENAMgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
Jero tu wanasumbua humuHuyo bia yetu anapokea hadi Sh3000 wakati sisi tulikua tunakula Msimbazi kwa siku
Yeye alivyo na roho ya kikatili ndo hachochei fujo?Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
Mimi namkemea magufuli kwa kuendekeza ukanda na ukabilaMgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA[emoji736]
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA[emoji736]
naomba kukazia hapo, Upendo ni nguvu yetu pia.Rais wetu Dkt.John Pombe Magufuli anaona mbali sana hakuna maendeleo yoyote katika nchi yetu kama hakuna amani..watanzania waangalie tu nchi baadhi zenye vita,uchumi unashuka ,watu wanakufa tunapoteza nguvukazi, wazee wetu ,baba,mama na watoto wadogo wanaathirika sana na vita.Sasa hivi vyama pinzani wanaotaka kuchafua amani tuwapuuze na walatusiwasikilize tulinde amani ya Nchi yetu.
Ifikapo Oktoba ukiwa ndani ya chumba cha kupiga kura usipate shida sana Picha ya kwanza Katika kibox cha kwanza ni CCM utakuta picha ya mwanamama SAMIA SULUHU na inafatia picha ya DK.JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI #magufuli mbele weka alama
Rais Magufuli anamaliza kipindi chake cha miaka mitano bila kuwepo na makundi ya udini wala ukabila. Katika majukwaa mbalimbali Rais Magufuli amekuwa akiwataka Watanzania kuwa wamoja, na kauli yake maarufu ni kwamba “Maendeleo hayana chama, dini, wala kabila.” Anatambua kwamba nchi ikishatumbukia katika udini na ukabila, basi hapatakuwa na Tanzania ya Watanzania hivyo kwa kauli yake hii Watanzania wamekuwa wamoja na ni umoja huu uliyowafanya Watanzania kwa pamoja kuwa na amani.
Ifikapo Oktoba ukiwa ndani ya chumba cha kupiga kura usipate shida sana Picha ya kwanza Katika kibox cha kwanza ni CCM utakuta picha ya mwanamama SAMIA SULUHU na inafatia picha ya DK.JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI #magufuli mbele weka alama
![]()
ndani ya kibox #ChaguaMagufuli
HAKUNA MTU ALIFUKUZWA ALIJIFUKUZISHANimemtaja nani? Sijamtaja mtu! All in all, by necessary implication ni yeye! Kwanini alimnyima hela za matibabu, kwanini alimfukuza ubunge?
kuna vielelezo kuhusu jambo hilona Akwilina.
Ni SabayaMgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA[emoji736]
Aongoze nchi kwa kufuata misingi ya Haki sawa kwa wote, Amani itakuja yenyewe
Rais wetu Dkt.John Pombe Magufuli anaona mbali sana hakuna maendeleo yoyote katika nchi yetu kama hakuna amani..watanzania waangalie tu nchi baadhi zenye vita,uchumi unashuka ,watu wanakufa tunapoteza nguvukazi, wazee wetu ,baba,mama na watoto wadogo wanaathirika sana na vita.Sasa hivi vyama pinzani wanaotaka kuchafua amani tuwapuuze na walatusiwasikilize tulinde amani ya Nchi yetu.
HAKUNA MTU ALIFUKUZWA ALIJIFUKUZISHA
sheria unazifahamu mtanzania ww au mbligiji mwenzetu