Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishinda huyo mnaye mnadi mjiandae kila mbwata yaani kuishi kwa taabu na huenda bila mlo wa siku! Nyie shangilieni tu kwa kuwa hamuijui hulka yake! Hashauriki Wala kuambilika huyo!Naam ni masaa machache tu yamebaki , kumshikisha adabu yule kibaraka wa amsterdam!.
Unafikili Mimi nakula kwa taabu kama wewe! Au unafili Rais ananilisha ? Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo!.Akishinda huyo mnayemnadi mjiandae kila mbwata yaani kuishi kwa taabu na huenda bila mlo wa siku! Nyie shangilieni tu kwa kuwa hamuijui hulka yake! Hashauriki Wala kuambilika huyo!
Wewe ni kubwajinga na huna hata uwezo wa kujilisha! Na Kama unao huo uwezo, kwa dadako unafanya Nini? Mbona hujitegemei na badala Yake unaishi kwa msaada wa shemejio?Unafikili Mimi nakula kwa taabu kama wewe! Au unafili Rais ananilisha ? Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo!.
Jitahidi ukapige kura ili tuwanyooshe mabeberuNaam ni masaa machache tu yamebaki , kumshikisha adabu yule kibaraka wa amsterdam!.
Hayo matusi yanashusha utu wako, Hapa ni Taifa kwanza, mengine baadae. Kama internet imezimwa, umewezaje kupost hiyo comment yako?Humu JF kuna team ya wanafiki mmejaa humu kujibu kila Comment.... vijana tuache kuendekeza njaa!
Hivi kama kweli anajiamini kwanini atuzimie mitandao ya kijamii?? Au mnaamini kila mtu ni mpenda siasa?
Kilaaniwe kizazi chenu wote mnaoendeleza haya yote.
Huu upuuzi wenu unaanza kutugusa hadi sisi ambao tumejiweka kando na vichwa panzi nyie
Mnafiki ni wewe unaepost JF wakati unalalamika internet imezimwaHumu JF kuna team ya wanafiki mmejaa humu kujibu kila Comment.... vijana tuache kuendekeza njaa!
Hivi kama kweli anajiamini kwanini atuzimie mitandao ya kijamii?? Au mnaamini kila mtu ni mpenda siasa?
Kilaaniwe kizazi chenu wote mnaoendeleza haya yote.
Huu upuuzi wenu unaanza kutugusa hadi sisi ambao tumejiweka kando na vichwa panzi nyie
Labda Africa ya chato
Matusi ni Sera yenuWewe ni kubwajinga na huna hata uwezo wa kujilisha! Na Kama unao huo uwezo, kwa dadako unafanya Nini? Mbona hujitegemei na badala Yake unaishi kwa msaada wa shemejio?
Wanaojilisha wanajitambua na huwezi kufanana nao hata kidogo!
Ulivyo na akili kisoda unadhani rais hulisha watu! Watu hulishwa na Sera nzuri zinazotekelezeka na zenye Tija! Hebu sema hapa, ccm Wana Sera gani za kuchagiza maendeleo ya mwananchi mmojammoja! Kakojoe ulale hapo sebuleni kwa dadako!
Afrika nzima inamkubali, amka ukampigie kura
Mnafiki ni wewe unaepost JF wakati unalalamika internet imezimwa