BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
EEee! kila mtu akale aliko peleka mbogaKwahiyo unakomoa walipa kodi kisa mbunge wa eneo husika amekusema vibaya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EEee! kila mtu akale aliko peleka mbogaKwahiyo unakomoa walipa kodi kisa mbunge wa eneo husika amekusema vibaya!
Kama kule bunda alivoongeaTunataka mgombea urais anaehubiri amani Kama Dr John Pombe Magufuli hawa wengine wanaohubiri fujo na chuki hakika kura zetu hawatapata tutawaelekeza watoto wetu mama zetu na baba zetu hakuna kuchagua hao wahuni
Hata mimi naanza kuhisi hivyo,sababu haiwezekani kila siku anarudia hii kauli.Kuna Jambo nyuma ya pazia
Wewe ni msukule hujitambui...siwezi kujibizana na wewe pengine unakula na kulala kwa shemeji.Hahaha Unamwones Huruma Eeeh ,Au Anakunyoosha Mpka Hujielewi ,unabaki unajifariji kwa Matusi YANI KAMA UNAMCHUKIA MAGU JIANDAE MIAKA 5 TENA YA MAUMIVU YA MOYO MAANA MTAKUFAWENGI BAVICHA KWA PRESSURE
Hivi anaongea vitu gani? Mwenyewe anaongoza kwa Ubaguzi na ufashismDkt. Magufuli asubuhi hii amefanya mkutano wa kampeni katika jimbo la Misungwi jijini Mwanza na kuwataka watanzania tupendane.
Dkt. Magufuli amewasihi wananchi kutobaguana kwa misingi ya chama cha siasa, dini au kabila kwa mustakabali mwema wa taifa letu...
Ameshachanganyikiwa! sijuizi tu ametoka kuwatisha watu, kuwa wakichagua upinzani watakiona!!?? je huku sio jutengana na kubaguana? amesema bunda wakichagua upinzani na mumuona? sijapeleka maendeleo! CCM wote mmechanganyikiwa! kuan a wewe mtoa mada!!Dkt. Magufuli asubuhi hii amefanya mkutano wa kampeni katika jimbo la Misungwi jijini Mwanza na kuwataka watanzania tupendane.
Dkt. Magufuli amewasihi wananchi kutobaguana kwa misingi ya chama cha siasa, dini au kabila kwa mustakabali mwema wa taifa letu.
Kadhalika Dkt. Magufuli amewataka wanamisungwi kuchagua Rais, mbunge na diwani kutoka CCM ili waendeleze maendeleo yaliyo katika ilani ya uchaguzi.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu usihangaike na mada za Johnthebaptist utachoka bure, huwa haelewi anaandika nini.Muulize aliyesema hivi 👇 ni nani?? Au siku hizi yeye amekuwa na ndimi mbili??
View attachment 1562602
Nina uhakika usiku wa kuamkia leo, huko Mwanza walifanya kikao cha faragha cha kumkanya aache kauli zake za "sagala sagala"Hivi mheshimiwa yupo sawa kweli?
Magufuli anajua pa kuanzia kampeni zake mfano katika miradi mikubwa aliyotekeleza na maendeleo kwa ujumla Sasa sijui wenzetu huwa wanaanzia wapi manake hawana reference
Hata mimi naanza kuhisi hivyo,sababu haiwezekani kila siku anarudia hii kauli.
Hahahaaaa...... Ahsante kwa kuja bwashee!Mkuu usihangaike na mada za Johnthebaptist utachoka bure, huwa haelewi anaandika nini.
Subiri Kuingia Barabarani wewe upate Kilema Cha Maisha Halafu Lissu Akupe Pole kupitia YouTube akiwa UbeligijiiWewe ni msukule hujitambui...siwezi kujibizana na wewe pengine unakula na kulala kwa shemeji.
Wewe itakuwa wanakuchapia maana si kwa woga huo mtoto wa kiume.Subiri Kuingia Barabarani wewe upate Kilema Cha Maisha Halafu Lissu Akupe Pole kupitia YouTube akiwa Ubeligijii