Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kanisa litueleze kama sadaka tuzitoazo zimegeuzwa kuwa kodi za serikali! Si kila muumini anaweza kuinuka na kuanza kukusanya sadaka bila ya kuteuliwa na kanisa, he, TRA imeingia kanisa ni kutafiti makusanyo ya sadaka?Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Huyo kada wa Lumumba, anauhesabu huo "uchafuzi" uliopita kuwa ni miongoni ya chaguzi Huru na Haki?Unajua maana ya kushindwa?
Hii thread haina mantiki wala maslahi kwa nchi.Akusanye sadaka wakati huo au sasa haitusaidii na wala siyo jambo la maana la kuingizwa kwenye historia ya nchi yetu.Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Nilitarajia ungeipuuza na kupitia kimya kimya!Hii thread haina mantiki wala maslahi kwa nchi.Akusanye sadaka wakati huo au sasa haitusaidii na wala siyo jambo la maana la kuingizwa kwenye historia ya nchi yetu.
Ule ulikuwa uchafuzi na sio uchaguzi na wao hilo wanalijua japo hawawezi kukiri.Huyo kada wa Lumumba, anauhesabu huo "uchafuzi" uliopita kuwa ni miongoni ya chaguzi Huru na Haki?
Hivi uchaguzi gani ambao Jiwe anawaamrisha Wasimamizi wote wa uchaguzi kuwa vibarua vyao vitaota nyasi, iwapo atatokea msimamizi yeyote atakayethubutu kumtangaza mpinzani kwenye eneo lake kuwa ameshinda?
Teh teh teh 🤣🤣🤣 we jamaa pumzika bhana acha kumsakama mh Rais.Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Umbea wakati picha unaziona?Kama imekuuma kunywa panadol upunguze maumivu.Sasa mkuu, ya kanisani yanakupasa yakufae Wewe, ukiyaleta hapa tunaanza kukushangaa Kwa sababu Mungu sio mbea!!
Ungemfuata umuulize ili akufundishe nini Maana ya hicho afanyacho, vingenevyo Huu ni umbea usio mfaa mtu wa kanisani
Ndio.Unajua maana ya kushindwa?
Separation of Church and State.
AhaaSeparatiin of Church and State.
Viongozi wa Serikali hawatakiwi kuonekqna wanajiingiza sanankwenye shughuli za kidini.
Ndiyo maana miakq yote ya urais wa Nyerere na Mkapa hakujakuwa na habari kama hii.
Walielewa "Separation of Church and State" ni nini.
Magufuki ama haelewi, ama hajali.
Magufuli anavyopenda attention, anaweza kwenda kwenye msiba halafu akataka aingie kwenye jeneza yeye ili watu watoe heshima za mwisho.Petty issues. Matatizo ya kujadili Tanzania yamekwisha? Ina maana unayoyafanya leo hii uliyafanya tangu zamani.
Rais na yeye ni raia. Anahitaji hapo unakuwa unamuonea!
Mkapa alikuwa mseminari kuliko Magufuli, na hajafanya maigizo haya.JPM ni zao la Seminari na jasiri aachi asili!
Wewe hujui ukiandikacho. Wapi Rais Magufuli kaingilia Kanisa? Kukusanya sadaka? You must be out of your mind. Allegations za udini na ukabila zinatolewa na myopic thinkers. Sijui kama unakumbuka Mwl. Nyerere aliwahi kusemaje kuhusu kumpata kiongozi bora.Mbona nimeandika kuhusu "Separation of Church and State"?
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Unaelewa "Separation of Church and State" ni nini?
Unaelewa kwamba tayari kuna malalamiko kwamba Magufuli ni mkabila na mdini na baraza lake la mawaziri lina Waislamu wachache sana?
Unaelewa kwamba hii taswira haimsaidii kujionesha kwamba hachanganyi urais wake na dini yake?
Unaelewa George W. Bush kuwasomea kitabu watoto hakuvunji "Separation of Church and State" na hivyo mfano wako hauna maana hapa?
Alikusanya sadaka akiwa rais hivyo hivyo kama si mwaka huu basi ni mwaka jana! Kanisa Katoliki ni kawaida tu!Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857
Nimekuuliza unaelewa "Separation of Church and State" ni nini.Wewe hujui ukiandikacho. Wapi Rais Magufuli kaingilia Kanisa? Kukusanya sadaka? You must be out of your mind. Allegations za udini na ukabila zinatolewa na myopic thinkers. Sijui kama unakumbuka Mwl. Nyerere aliwahi kusemaje kuhusu kumpata kiongozi bora.
Sasa mkuu, ya kanisani yanakupasa yakufae Wewe, ukiyaleta hapa tunaanza kukushangaa Kwa sababu Mungu sio mbea!!
Ungemfuata umuulize ili akufundishe nini Maana ya hicho afanyacho, vingenevyo Huu ni umbea usio mfaa mtu wa kanisani
Jamani, we are greater thinkers, tufanye kwa nafasi zetu! Kuna shida gani Mhe.Rais JPM kumtumikia Mungu katika maisha yake binafsi?! Hayo ni mahusiano yake binafsi na Mungu tumwachie yeye!Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu alianza siku nyingi
View attachment 1658857