Dkt. Magufuli alipokuwa Waziri, aliwahi kukusanya sadaka Kanisani kama alivyofanya leo katika Ibada ya Christmas?

Dkt. Magufuli alipokuwa Waziri, aliwahi kukusanya sadaka Kanisani kama alivyofanya leo katika Ibada ya Christmas?

Jamani, we are greater thinkers, tufanye kwa nafasi zetu! Kuna shida gani Mhe.Rais JPM kumtumikia Mungu katika maisha yake binafsi?! Hayo ni mahusiano yake binafsi na Mungu tumwachie yeye!

Ipo tofauti ya kupiga picha ukiwa kanisani na kumtumikia Mungu ni vitu viwili tofauti usichanganye
 
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.

Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?

Ni matarajio yangu alianza siku nyingi


View attachment 1658857
Sijawahi kuona kiongozi anayenajisi Ibada kama huyu, hovyo kabisa
 
Na ndo maana naona Wasabato wako sahihi katika hili:kwao ni marufuku mtu mwingine awaye yote kushika chombo cha matoleo (zaka +, sadaka) isipokuwa Shemasi, ambaye amewekwa wakfu kwa kazi hiyo na nyinginezo. Hata kama wewe ni Mheshimiwa sana,hakuna kushika hicho chombo maana hujawekwa wakfu kwa jukumu hilo.
Umejuaje kuwa wako sahihi...
 
Back
Top Bottom