Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Usipanik Bro..
Hata Gobershov alijenga viwanda , lakini huku akizorotesha nguvu za USSR Kijeshi, Usalama na Umoja kama taifa ....so hivyo vitu sio substitute ya uhai na uimara wetu kama taifa hasa UMOJA ...sasa ukishapanda ubaguzi kwenye nchi hivyo vitu ..vina msaada gani .
ALAFU BRO UMEJIBU MOJA TU...Hayo muhimu ya kuzembea makusudi kugharamia utunzaji wa mifumo yetu ...nadhani pia umeona lakini kwakua unajua nini kinaendelea umeamua hilo usiongelee kwakua ndio ukweli .
MSICHEZE NA HUKO BRO , WAZALENDO WANA UCHUNGU .....
kweli sisi ni wa kuchinjwa kama kuku na watoto wadogo ....wakati vifaa vipo lakini havina msaada kwakua havina matunzo ......
BRO utapata wapi uweledi na utimamu kama vijana wakienda KOZI wanalipishwa 'ADA" hakuna nchi inafanya hivyo hata wakati mgumu sana kwenye nchi yetu baada ya mwalimu kutoka akaingia mwinyi haijawaji kutokea Askari wanalipishwa kwenda mafunzoni ...tena sana wanalipwa ..
Mnategemea hao ndio mtakaowaamini kukabiliana na jambo lolote .....hamasa iko chini sana ....umeona lini uchaguzi unafanyika hawana vifaa na magari mapya ....msicheze na usalama wa nchi .
 

Mabaya mawili yanaweza kufuta kumi mazuri
 
JPM umeshapata mitano tena.
Eenh, imekuwa hivi tena?

Naona mioyo inazidi kuwa mizito!

Hapa hakuna msaada tena mkuu.

Safari hii hata wenye njaa ya siku moja watakikataa chakula ili kesho yao iwe nzuri.
 
Kufungua account Twitter ni dakika tatu tu au chini ya hapo.

SIKO TWITTER JE UNAWEZA NILETEA UPDATE MPAKA SASA ANA 'LIKE NGAPI'? maana hizo 3,317 sikutegemea zitoke twitter kwa wanaojielewa labda istagram
 
Jeshi lituondolee hili balaa liachanae na siasa.

Video ya huko mtwara
Your browser is not able to display this video.
 
Hujapatwa we we ndo mana unasema hivyo ungekua umekopwa korosho ungejua kwanini hawampendi ungebomolewa nyumba ungejua ,unge kua mfanyabiashara ungejua ungekua mfanyakazi ungejua hakuna kundi lililosalama kwa huyu MTU wako isipokua wanaokula meza moja nae
 
Wanapiga vita matumizi ya mitandao na vyombo huru vya habari alafu huku wanatumia vyombo hivyo-hivyo kuomba kura. Hawaeleweki, sipangiwi nani wa kumchagua, tumenyanyaswa vya kutosha tunataka uhuru, haki na maendeleo ya watu .
The best response I have seen today!
 
Hayo ni baadhi tu ya majibu Mkuu pita kule Twitter ukaone ni jinsi gani watu walivyo na usongo na huyo anayedhani ana hati miliki ya Tanzania.


Weka majibu tucheke hapa
 
Ndiyo sababu Twitter inazidi kuwa maarufu sana kwa Watanzania kwani uhuru wa kule hakuna tena. Yule kigogo serikali ilimchomea afungiwe na akafungiwa lakini wabongo hawakukubali wakaiandikia Twitter kwa wingi kwamba hajatenda kosa lolote na Twitter wakawaelewa Wabongo hivyo Kigogo akafunguliwa. Sikuwa kufikiria kwamba kuna mtandao utakuwa kipenzi cha Watanzania kama JamiiForums lakini kwa uhuru uliokuwepo kule Twitter nadhani kwa kasi hii Twitter inaweza kuwa maarufu zaidi kuliko JamiiForums.
Kule twita watu wana majibu ya hovyo sana.

Hawajawahi kumuacha mtu salama.
 
Eti wanashindana na vyama dhaifu lakini wakati huo huo maccm yanahofia uchaguzi huru na wa haki na pia kura kuhesabiwa hadharani! Akili ni Nywele hata maccm wana zao!

Atapita Tena kwa kishindo kikubwa mno
 
Hapa sio swala la"kupenda au kutopenda wagombea."

Hapa ni swala la Tanzania yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…