Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Usipanik Bro..Kinachowatesa nyie ni kufikiria mambo yataendeshwa kwa mazoea tena. Inajulikana wako maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Maadui wa ndani wanao mamluki wao kwenye mifumo ya uendeshaji nchi bila kwenda kwa chenga za mwili huwezi fika. Vita ya ndani ndivyo inavopiganwa hivyo.
JPM aliye kwenda kumzika Mkapa wakati wa kurudi akatembea kwa Miguu kuvuka daraja la Mkapa na akapokea zawadi ya jogoo Mkiru, akatumbua wakutumbuliwa. Ndio unaleta propoganda zako za kilaghai hapa eti anaogopa.
Kwani mlipanga kufanya nini akiwa anafanya kampeni huko Kusini apaka ikuume hivi kwa yeye kutoenda mikoa ya kusini?
Wezi na Mafisadi waliozalishwa Tanzania awamu hasa za 3 na 4 mmegeuka kuwa maadui wa Taifa hili kwa kujitahidi kukwamisha serikali ya awamu ya 5. Nyie ni wajinga kabisa hamna hata akili kama nyie kipindi chenu mlisimama hamkukwama pamoja na kupinduliwa kwa pambio la chama. Vipi sasa mfikiri hawa wa awamu ya 5 watawaangalia tu ili muwafanye waonekane mbele ya macho ya Watanzania wameshindwa?
Mambo katika Taifa hili hayaendeshwi kwa mazoea tena, jueni hivyo na mkae mtulie. Unaweza kumuita JPM muoga, Rais aliye thubutu kuing'oa accasia london stock exchange? Licha ya vitisho mlivyokuwa mwaviendeleza kwa propoganda zenu uchwara?
Akaikoa nchi ya Tanzania kutoka kubadilishana dhahabu na misaada ya vyandarua vya mbu. Eti, eti, eti, katumwa na Bahima, huna hata aibu wala soni wewe, hujishtukii kutumika kama tambara la kufutia shombo. Umelipwa nini kinachokufanya kudhalilisha utu wako na heshima yako kiasi hiki? Mtu aliyetumwa na Bahima angezuia madini yetu yasiishie Rwanda na kwengineko? Angejenga ukuta Mererani.?Angehangaika na Bwawa lilolomshinda Nyerere ubunifu wa kulijenga na huku nchi iikiwa na raslimali tele za kuwanufaisha Amiri Jamal na wakina Sabudu? Waliomfuatia Nyerere nao wakajibaraguza kulijenga ili wachote raslimali zilizojaa selous wakishirikina na mabwana zao wazungu na waarabu, sijui wahindi wanao waamini na kuwanyenyekea kama miungu -idols.
Hata Gobershov alijenga viwanda , lakini huku akizorotesha nguvu za USSR Kijeshi, Usalama na Umoja kama taifa ....so hivyo vitu sio substitute ya uhai na uimara wetu kama taifa hasa UMOJA ...sasa ukishapanda ubaguzi kwenye nchi hivyo vitu ..vina msaada gani .
ALAFU BRO UMEJIBU MOJA TU...Hayo muhimu ya kuzembea makusudi kugharamia utunzaji wa mifumo yetu ...nadhani pia umeona lakini kwakua unajua nini kinaendelea umeamua hilo usiongelee kwakua ndio ukweli .
MSICHEZE NA HUKO BRO , WAZALENDO WANA UCHUNGU .....
kweli sisi ni wa kuchinjwa kama kuku na watoto wadogo ....wakati vifaa vipo lakini havina msaada kwakua havina matunzo ......
BRO utapata wapi uweledi na utimamu kama vijana wakienda KOZI wanalipishwa 'ADA" hakuna nchi inafanya hivyo hata wakati mgumu sana kwenye nchi yetu baada ya mwalimu kutoka akaingia mwinyi haijawaji kutokea Askari wanalipishwa kwenda mafunzoni ...tena sana wanalipwa ..
Mnategemea hao ndio mtakaowaamini kukabiliana na jambo lolote .....hamasa iko chini sana ....umeona lini uchaguzi unafanyika hawana vifaa na magari mapya ....msicheze na usalama wa nchi .