Jomba umeshawahi lipa kodi forodhani kwa namna yoyote ile..Au nawwwe ni kibaka kama wale vibaka wengine jomba...maana sio ni hapa uchungu wewe unautolea wapi...kwanza hata ndege zimekujajekujaje hujui..hiyo hasara hasara umejuaje. ..shwaiannnnmmKeshapaniki. Na siasa haihitaji hasira.
ATCL kwasasa si ruhusu mdhibiti kuikagua. Yasemekana linajiendesha kwa hasara hasara tu.
Kumbe una picha zako? Endelea kuziaminiLeta picha na usiende kuokoteza kama bungeni walivyookoteza Mkataba wa Muungano baada ya kubanwa vilivyo na TAML
Mwambie mzee baba aache porojo ajibu hoja kama ntu mwenye akili!Biashara huenda ikipick momentum,,ni suala la mda tu,baadae italipa tu
Andika kiswahili kinachoeleweka, Lissu hana hadhi ya kufanya mdahalo na Rais wa nchi, anaweza akagombea naye na kupiga makelele majukwaani kama chizi mwisho wa siku atabaki kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Hata uenyekiti wa CHADEMA Lissu hawezi pewa.Lissu ndio kambo kmdahaalo, kupitia kipindi cha dkk 45 cha ITV pamoja na interview na Dotto Bulendu
Kwa akili zenu hakina tija kwa kuwa kimejengwa anakotoka Mh Rais, kwetu kumejengwa uwanja na ndege zinatua mara 3 kwa mwaka na hamjawahi kukizungumzia,Ila hiki cha Chato ndio mnakiongelea saaana.
Kwa akili zenu hakina tija kwa kuwa kimejengwa anakotoka Mh Rais, kwetu kumejengwa uwanja na ndege zinatua mara 3 kwa mwaka na hamjawahi kukizungumzia,Ila hiki cha Chato ndio mnakiongelea saaana.
Kwani Kuna Corona?😀Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Malalamiko yako politically motivated,,,kiwanja hakina tatizo..Hiki siokiwanda cha kwanza cha ndege kujengwa nchini.Lakini ni cha kwanza kulalamikiwakwakuwa hakina tija.
Watanzania tumejaa chuki za kipuuzi mpaka tunasahau siku za nyuma tulisema jambo gani.
Hao hao waliomcheka JK kwa kushindwa kuwa na shirika la ndege ndio hao wanaosema leo kuwa ndege hazina faida.
Watanzania ni kuwasikiliza na kuendelea na shughuli zako kama vile hawapo.
Sio.Kwenu wapi. ? Chato
Haha, eti Lissu hana hadhi, hiyo PhD mtatueleza mliipataje mwaka huu, Mbuzi kabisa nyie😀Andika kiswahili kinachoeleweka, Lissu hana hadhi ya kufanya mdahalo na Rais wa nchi, anaweza akagombea naye na kupiga makelele majukwaani kama chizi mwisho wa siku atabaki kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Hata uenyekiti wa CHADEMA Lissu hawezi pewa.
Sio.
Watu wenye akili kama wewe ni wachache sana, Akili za wengi wanalia hamna hela, eti JK Alimwaga hela mtaani, JPM Kaondoa zooote.Ni kweli kabisa mkuu ukichunguza kwa umakini utagundua kuwa wabongo wengi kutokana na maoni wanayoyatoa yamejaa ulalamishi sana na huwezi kujua ni nini hasa wanakihitaji. Wakati wa JK walimponda sana na kelele nyingi za ufisani na nchi kukosa mwelekeo. JPM kwa sehemu kubwa kafanyia kazi malalamiko mengi kwa vitendo kiasi cha kukipa chama cha CCM nguvu na watu kukiamini tofauti na kipindi cha JK. Vilevile kuna mwelekeo kama nchi tunauona na ni vizuri kutambua kazi kubwa ambayo JPM ameifanya licha ya mapungufu ya hapa na pale ambayo ni kawaida ya binadamu yeyote yule. Ukiondoa mihemko na kelele nyingi za hapa na pale na ukitafakari kwa kina bila msukumo wa kelele za nje utakubali kuwa JPM kaitendea haki Tanzania.
Lissu bado hana hadhi ya kufanya mdahalo na JPM, Kwa hadhi ipi inayompa uwezo wa kuomba mdahalo na JPM? Achana na Phd Stories, sema facts kwa hadhi ipi?Haha, eti Lissu hana hadhi, hiyo PhD mtatueleza mliipataje mwaka huu, Mbuzi kabisa nyie😀
Kuna mwaka china walijenga miji,mfano wa ile plan ya new kigamboni,wakaweka maskyscraper ya hatari,,nyumba zilimaliza miaka 10 hazina wapangaji,,wazungu wakaanza kuwacheka wachini eti wamejenga ghost cities,,
Leo hii,china imehamisha wachini karibu milioni 200 kwenye hiyo miji,waliona long term kutakuwa na tatizo la makazi,waka address ishu kabla ya tatizo
Ni afrika pekee raisi ni mungu thus maendeleo tutayasikia ndotoni, afrika itakuwa na maendeleo Kama tukianza kuwafunga jela maraisi wahuniHatuwezi kulingana na China Mkuu hata ukirudi nyuma ktk hiyo Miaka ,namna ambavyo wanafanya mambo yao kuanzia kuheshimu Sheria na kuzisimamia kwa vitendo.Hapa kwetu Mtu mmoja anakuwa Polisi yeye /Mahakama yeye / na Askati Magereza ni yeye pia Sababu tu kwenye Katiba pamempa nguvu ya kufanya hayo.Hasa kile kipengele kinacho sema nna nukuu "Raisi halazimiki kufuata Ushauri wowote ule ktk kuamua /kutekeleza Majukumu yake"..
Lazima tuwe wawazi kama tunataka Maendeleo .
Sasa kama katiba ndo inampa hiyo power,tatizo liko wapi?,jk alitoa oppotunity ya kubadli katiba,,hatua za mwisho UKAWA walisusa,,Hatuwezi kulingana na China Mkuu hata ukirudi nyuma ktk hiyo Miaka ,namna ambavyo wanafanya mambo yao kuanzia kuheshimu Sheria na kuzisimamia kwa vitendo.Hapa kwetu Mtu mmoja anakuwa Polisi yeye /Mahakama yeye / na Askati Magereza ni yeye pia Sababu tu kwenye Katiba pamempa nguvu ya kufanya hayo.Hasa kile kipengele kinacho sema nna nukuu "Raisi halazimiki kufuata Ushauri wowote ule ktk kuamua /kutekeleza Majukumu yake"..
Lazima tuwe wawazi kama tunataka Maendeleo .