Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

KWA MAENDELEO YA KWELI CHAGUA MAGUFULI, MAGUFULI, MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
 
Kweli kabisa kwani watanzania wote ni NDUGU bila kujali itikadi zao
 
Ni ukweli usiopingika na ulio wazi kuwa, Tanzania upinzani bado sanaaaaaa na itoshe tu kusema kuwa CCM ni chama imara na kitaendelea kuwa imara. Dk Magufuli anastahili kura za kishindo kwa maendeleo ya Taifa letu
 
Hakika, inabidi wafahamu maana halisi ya ubaguzi.
 
Mubaguzi hataki wenzake wabaguwane ni kama vile mwizi asivyotaka kuibiwa.
 
Sio kweli. Haya ni ya kwako
 
Kwani watanzania wote wameamua kusafiri na magufuli kwa Mafanikio makubwa tuliyoyaona
 
..kuna mwanasiasa mbaguzi na mwenye chuki nchi hii kumzidi Jiwe? Jiwe aliwaambia wapiga kura wakichagua chama tofauti na ccm hatawapelekea miradi ya maendeleo. Huo ni ubaguzi, na ni siasa za chuki.
Hahhaha..
MBONA WAPO WALIOMSIMAMISHA MGOMBEA NA LEO WANAMKANA....!!!🤣🤣🤣Upinzani wa Tanzania ni zaidi ya kirusi wamekaa kuharibu kila kitu...Huwezi fanya nao lolote la maendeleo
 
Acha kupika mawazo ya mtu, kama hukumuelewa inabidi useme tukueleweshe vizuri.
Ipo hivi, Alizungumza hayo kutokana na kwamba viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni wakwamishaji wa mambo ya maendeleo, hawazungumzi kero za wananchi ndio maana aliwaambia wakichagua upinzani itakuwa imekula kwao maana watakosa mwakilishi wa kuwasemea kero zao.
Chagua CCM, Chagua Magufuli
 
Kwani Anti-Li yeye anasemaga aje.???
 
..Ni mbaguzi.

..aliwabomolea nyumba zao wakazi wa majimbo yaliyochagua wabunge wa upinzani.

..kule walikochagua wabunge wa ccm akasema wasibomolewe kwasababu ni wapigakura wake.
Uongo huu, leta uthibitisho hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…