Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli atinga Kagera, Mama Tibaijuka asema watampa kura za heshima na kusisitiza wao ni 'Natural Allies'. Magufuli amuahidi cheo

"BASHIRU: Hapa mimi ndiko ulikonitoa jalalani(Bukoba) maana kuna lugha ya jalalani, ukiwa Kagera sisi wasaidizi wako umetutoa jalalani na mimi niko kwenye jalala langu na jana nimekuona ukiwa kwenye jalala lako Chato, sasa ni zamu yangu, acha nijidai kwenye jalala langu la Kagera."

Nashangaa sana huu uharo kuharishwa kutoka kinywa cha mtu anayeitwa Dokta! Yaani Dokta anasimama kwenye maiki na kuharibu pumzi ya Mungu, si ajabu na maji kanywa (ambayo ni gharama ya kodi za walalahoi) ili alainishe koo kabisa kutoa huo upuuzi!

Wanajaribu kutafuta kura za huruma kutoka kwa wananchi kwa kumchonganisha Tundu Lissu aonekane yeye ndiye aliyeanzisha msemo huo wakati muasisi anafahamika.

Pia wanajaribu kuwashawishi wananchi wa makwao ionekane sehemu hizo ndizo zimeitwa majalala.

Ni vema Kabudi ajitokeze atueleze jalalani alikomaanisha ni wapi, ili kama alimaanisha jimboni kwake ndiko jalalani basi wananchi wamshughulikie hata kama atakuwa kajipitisha bila kupingwa.
 
Ndg Rais Magufuli, nakuomba uruhusu TBC wawe wanarusha live mikutano yote ya Lissu ili usipate tabu ya kuweka bando la kumtazama




 
Vipi na Lissu nae si anafuatilia sana kampeni za Magu?
 
Rais Magufuli leo yupo mkoani Kagera akitokea Chato kuendelea na kampeni za kuwania Urais kwa muhula wa pili, akiwa njiani amesimama Muleba, lililokuwa jimbo la mama Anna Tibaijuka upande wa Muleba Kusini. Hii ni sehemu ya yaliyojiri huko...
Magu bana anaongea kama si Rais wa nchi, CCM mlibugi big time
 
Naona huo ulikua ni mkutano wa watu kupeana vyeo na kuonyeshana jinsi wanavyo juana kifamilia zaidi.

Mdogo wangu/kaka yangu/dada yangu/Mume wake
 
Mkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.

Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
Hizo ni dalili za kifilisika Sera kichwani..nakwambia mtanzania wa Leo huwezi mdanganya hivi
 
Magu yupo kila TV na kila media kinachoshangaza Lissu kazimwa kila kona lakini bado sindano zake zinamfikia na kumchoma
Mwaka 2015 mlijipaga moyo hivihiviiiii..mlichoambulia Mungu mwenyewe ndie anayejua...Sasa naona mnakuja na wimbo uleulee..subirini rungu la wananchi
 
Mkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.

Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
Una uhakika? Mkoa wa Kagera mwaka huu tunaenda kuvunja rekodi, kuanzia madiwani, waving mpaka Raisi! Ni mafiga matatu kwelikweli! Chadema na lissu wenu mtakuwa na raisi wa twita! Kichinjio ninacho hapa kituo cha kupigia kura ni hapa Kitendaguro ofisi ya kata! Wewe na wenzako hata huku Kagera hamjawahi kufika
 
Bashiru huyu akili zake zipoje? Jalala kila mtu anafahamu maana yake
 
Kumbeee wasubiri vipimo
 
Kosa kubwa sana kuita Kagera jalala, wana Kagera fanyeni kitu.
Alisema, namnukuu: "Kama Rais Magufuli hata yaachia hayo makontena ya mchanga na kuyaruhusu yaende kwa wazungu hakika tutapigwa kama Gadafi na tutachakazwa ndani ya masaa 48 tutakuwa tumekwisha"
Njombe hiyooooo

Moto chini, uuwi , Lissu namba nyingine aisee
Wewe si ulisema kaahirisha? Muda sio mrefu utashangaa watu mada zako hawasomi sababu wanakuona kuwa huko reliable
Baada ya kujidhalilisha kwa kauli ya jalalani wanajaribu kubadilisha maana yake ingawa wanazidi kujichanganya.

Wanajitapa uchumi wa kati na kuwa tunapata maendeleo kama Ulaya, ni kwa nini sasa wanaanza kuita kila sehemu ni jalalani?
Mkumbushe Tibaijuka barabara ya Muleba Rubya kaitelekeza miaka minne kilometa 100 na point hazijaisha watu wanateseka
 
Ujinga mtupu Kama kawaida ya maccm
 
Mbna anadanganya aliemteua Masilingi balozi marekani ni jk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…