Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Safari hii anaangukia Pua bila huruma yoyote
 
Umri wangu huujui
Hatuna watoto jamii forum, hatuna vichaa jamii forum na wala hatuna vikongwe/wazee jamii forum

Tutumie lugha za staha kufikisha ujumbe tutaelewana - kwa kuwa hata angeshinda mgombea mwingine zaidi ya JPM bado watanzania wanapaswa kuwa wamoja
 
Atashinda sasa
 
Siku zinahesabika:-
- andaeni orodha ya wasimamizi/mawakala wenu siku saba kabla ya tarehe ya uchaguzi na kiyawasilisha kwa DG NEC

- pigeni kula mpigavyo,
- lindeni kura,
Mwisho wa siku JPM lzm ashinde
 
Si alishindwa mara mbili 1985 na 1990 kura za maoni ndani ya CCM jimbo la Biharumulo.au kushindwa kupi unakokuzungumzia.
 
Hizo porojo zako hazigusi hata 2% ya wapiga kura. Andaa propaganda nyingine muda sio rafiki
 
Hizo porojo zako hazigusi hata 2% ya wapiga kura. Andaa propaganda nyingine muda sio rafiki
Muda ni rafiki, tarehe ya kuapishwa rais wetu iko wazi - hata kama mmemuibua Sheikh ponda lkn lzm ashinde JPM
 
kuna jamaa alisema PHD ya MA.... ikaguliwe mbn hatumuoni huyo jaman yuko wap
 
Muda ni rafiki, tarehe ya kuapishwa rais wetu iko wazi - hata kama mmemuibua Sheikh ponda lkn lzm ashinde JPM
Ukitaka kuchangia kwenye maoni ya mtu, jitahidi kusoma original post na maoni mengine utaelewa zaidi na kuweza kuongezea maoni juu ya maoni ya mwingine. Ushauri wangu ni huo.
 
Ukitaka kuchangia kwenye maoni ya mtu, jitahidi kusoma original post na maoni mengine utaelewa zaidi na kuweza kuongezea maoni juu ya maoni ya mwingine. Ushauri wangu ni huo.
Sawa ndugu Buberwa - let us start counting days remaining to face such general election - JPM kishashinda
 
Kama Mungu muumba wa mbingu na nchi aishivyo Magufuli atashindwa. Mungu hadhihakiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…