Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-

Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-

Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-

Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani
- zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-

Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Labda uishie kusema 'hajawahi kushindwa' ila kusema 'hatashindwa' mh! utata.Hayo ya Mungu ndugu.Labda kama kakutuma umfariji humu.Hata hivyo kisaikolojia unamsaidia sana.Kuamka kutwa kucha unakutanana na mineno mikali ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato,kutoajiri,kubugia hela za rambirambi n.k. Kibinadamu inaleta tabu sana.Good job.Swali la kizushi,je,umeshapokea chako?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Labda uishie kusema 'hajawahi kushindwa' ila kusema 'hatashindwa' mh! utata.Hayo ya Mungu ndugu.Labda kama kakutuma umfariji humu.Hata hivyo kisaikolojia unamsaidia sana.Kuamka kutwa kucha unakutanana na mineno mikali ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato,kutoajiri,kubugia hela za rambirambi n.k. Kibinadamu inaleta tabu sana.Good job.Swali la kizushi,je,umeshapokea chako?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Hela ipi ya rambirambi aliyobugia?
Ajira nyingi sana zimetolewa, na zingine 13,000 za ualimu zimetangazwa,
Flyover za kumwaga,
Barabara kibao - hata hapo ulipokanyaga ni lami,
Umeme kona zote,
Vituo vya afya na zahanati kibao,
Uzalishaji mazao ya chakula na kibiashara umeongezeka, nk nk nk
 
Hela ipi ya rambirambi aliyobugia?
Ajira nyingi sana zimetolewa, na zingine 13,000 za ualimu zimetangazwa,
Flyover za kumwaga,
Barabara kibao - hata hapo ulipokanyaga ni lami,
Umeme kona zote,
Vituo vya afya na zahanati kibao,
Uzalishaji mazao ya chakula na kibiashara umeongezeka, nk nk nk
Hahahahahaaaaa ndugu yangu wewe,muogope Mungu aisee!.Unaweza kutoka hadharani ukayasema haya?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hela ipi ya rambirambi aliyobugia?
Ajira nyingi sana zimetolewa, na zingine 13,000 za ualimu zimetangazwa,
Flyover za kumwaga,
Barabara kibao - hata hapo ulipokanyaga ni lami,
Umeme kona zote,
Vituo vya afya na zahanati kibao,
Uzalishaji mazao ya chakula na kibiashara umeongezeka, nk nk nk
Unaishi nchi ipi hapa duniani?
 
Naomba nikwambie kuwa magufuli hakuwahi kushinda wala kushindwa kwa kuwa ni muoga kuingia kwenye ushindani ,nasi watanzania tutamwadhibu kwa makosa yafuatayo

1. Kuiba na kula rambirambi
2. Wizi wa 1.5 trillion
3. Ukandamizaji wa haki za binadamu
4. Ubaguzi
5. Uongo na ahadi zisizotekelezeka mfano Noah kwa kila mtanzania na zile 50 mln kwa kila kijiji
6. Utekaji na mauaji
7. Kujificha wakati wa majanga mfano covid19 na Ajali ya MV nyerere
8. Udhalilishaji wa wanawake majukwaani
9. Hajatimiza moja ya masharti ya kugombea urais yanayosema kuwa lazima mgombea ajue "kuongea na kuandika kiswahili na kingereza kwa ufasaha"
10. Ameiba aridh huko karagwe 25000 hekari
11. Pamoja na majaribio yote Lissu ndio huyo bado anadunda!
 
Naomba nikwambie kuwa magufuli hakuwahi kushinda wala kushindwa kwa kuwa ni muoga kuingia kwenye ushindani ,nasi watanzania tutamwadhibu kwa makosa yafuatayo

1. Kuiba na kula rambirambi
2. Wizi wa 1.5 trillion
3. Ukandamizaji wa haki za binadamu
4. Ubaguzi
5. Uongo na ahadi zisizotekelezeka mfano Noah kwa kila mtanzania na zile 50 mln kwa kila kijiji
6. Utekaji na mauaji
7. Kujificha wakati wa majanga mfano covid19 na Ajali ya MV nyerere
8. Udhalilishaji wa wanawake majukwaani
9. Hajatimiza moja ya masharti ya kugombea urais yanayosema kuwa lazima mgombea ajue "kuongea na kuandika kiswahili na kingereza kwa ufasaha"
10. Ameiba aridh huko karagwe 25000 hekari
Mtu kama weww sijui unatumia akili za mnyama gani au mdudu
 
Mtu kama weww sijui unatumia akili za mnyama gani au mdudu
Hela ipi ya rambirambi aliyobugia?
Ajira nyingi sana zimetolewa, na zingine 13,000 za ualimu zimetangazwa,
Flyover za kumwaga,
Barabara kibao - hata hapo ulipokanyaga ni lami,
Umeme kona zote,
Vituo vya afya na zahanati kibao,
Uzalishaji mazao ya chakula na kibiashara umeongezeka, nk nk nk
Unaishi nchi ipi hapa duniani?

Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-
Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-
Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-
Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani - zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-
Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Muulize Magu kama anamjua Phares Kabuye atakueleza jinsi jamaa alivyomtesa. Ndiyo maana hadi leo Magu hapendi uchaguzi
 
Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-

Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-

Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-

Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani
- zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-

Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10

Ukimchangua ww na familia yako inatosha, wengine tutampa tunaemtaja
 
Muulize Magu kama anamjua Phares Kabuye atakueleza jinsi jamaa alivyomtesa. Ndiyo maana hadi leo Magu hapendi uchaguzi
Historia hiyo naifahamu vizuri - wakati huo uchaguzi ulitawaliwa na ukanda Chato "wasukuma" na Biharamulo "wasubi" - kura ziligawanuika

Lilipotengwa Jimbo la Biharamulo Mashariki ndiyo alipambana na akina Mabina Nyororo mwenye ukwasi mwingi lkn akashinda na mara ya kwanza akawa mbunge wa Jimbo jipya
 
Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-
Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-
Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-
Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani - zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-
Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Mwaka huu ndio tutajua kwani alishindwa mara ngapi kwenye ubunge biharamulo?
 
Historia hiyo naifahamu vizuri - wakati huo uchaguzi ulitawaliwa na ukanda Chato "wasukuma" na Biharamulo "wasubi" - kura ziligawanuika

Lilipotengwa Jimbo la Biharamulo Mashariki ndiyo alipambana na akina Mabina Nyororo mwenye ukwasi mwingi lkn akashinda na mara ya kwanza akawa mbunge wa Jimbo jipya
Kwa hiyo unakubali amewahi kushindwa?
 
Mbona kashindwa kujenga the so called tanzania ya viwanda aliyoahidi 2015?
 
Back
Top Bottom