Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Hamasishaneni mkapige kura kesho. Ukimaliza rudi nyumbani ili kuitunza tunu ya amani na mshikamano tulionao

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Hamasishaneni mkapige kura kesho. Ukimaliza rudi nyumbani ili kuitunza tunu ya amani na mshikamano tulionao

Neno haki kwake ni mwiba mchungu.
IMG_20201028_002359.jpg
 
Haki Inaenda Kutendeka Zanzibar. Je, Kuna sababu gani ya Kufanya uchaguzi kama unataka chama chako na watu wako ndio wachaguliwe tu. Kuamasisha watu kupiga kura ni jambo moja , Kuwapa haki yao ni jambo la muhimu sana katika kulinda Amani. Otherwiae hakuna sababu ya kupiga kura.. kama ukiporwa ushindi ni kulidhika tu na kusema sawa. Haki....Haki...Haki!
Unaota, vibaraka hawawezi shinda uchaguzi
 
Back
Top Bottom