Mnafanya yale tusiyowaomba lakini kile tunachoomba hamtupatii,Mtoto wako akikuomba mkate wampa jiwe?Tatizo wao wanataka tuongeze sent ila sie twapunguza paye percentage tu so ni njia indirect ya kuongeza mshahara.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Lissu hajasema wafanyakazi wote, anazungumzia watu kama weweTwende nae wapi wakati amewaita takataka
Ila hela ya kuwalipa wabunge million 200+ kila m'moja kama pension ndani ya masaa 24 mara baada ya kuvunja bunge ipo, ila wazee waliotumika maisha yao yote pesa hamna mpaka wengine kupata matatizo kiafya na wengine kufariki kabisa, hii laana haitawaacha salama.Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wafanyakazi kazi kwenu kuamua kusuka au kunyoa.Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
jiandae siku zenu zaja kibri na madhalau hayajawai kumuacha mtu salama ,ccm mna madhalau sana na kibri cha kiwango cha rami , kuongeza mishara ya wafanyakazi ni shida but kuna pesa kibao mnatumia kwenye mambo ya ajabu , ajabu , mtanyooka nawambieni mungu ni wetu wote na hatamuacha mwanae hata mmoja ahangamie kwa kibri na madhalau ya ccmMgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Kwa kuongezea kwenye hoja hiyo, upinzani haujui maana halisi ya maendeleo.Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
Miaka mi5 reli ya Magufuli bado iko Kibaha je wananchi wa Dodoma, Mwanza, Kigoma hawajajenga kwa kukosa usafiri?Sasa hawajapandishiwa Miaka Mi5 wanafunzi wanakaa kwenye madawati?
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Ni Mradi wa Flyover ya Ubungo tu ambayo itaweza kukamilika ambapo pesa imetoka Afdb.Miaka mi5 reli ya Magufuli bado iko Kibaha je wananchi wa Dodoma, Mwanza, Kigoma hawajajenga kwa kukosa usafiri?
Miaka mi5 Bwawa umeme la Stiegler's Gorge bado ni jangwa tu, je Mradi wa REA wa kuvipatia umeme Vijiji vyote nchini umekwama?
Yaani Magu anazingua ile mbaya, amedharau hata sheria za utumishi kwenye annual increment tu. Anahitaji sana kusaidiwaBila shaka wewe utakua na PhD ya kubangua karanga! Wote ni wale wale tu. Mnakua na mavyeti mengi halafu mnakua na uelewa mdogo kwenye mambo ya kawaida kabisa.
Je, unafahamu kitendo cha Rais wako kusitisha mchakato wa wafanyakazi kupanda madaraja yao kwa mujibu wa taratibu za kiutumishi, amesababisha mishahara kwa wafanyakazi kuto kutofautiana?
Yaani aliyeajiriwa mwaka 2014 na yule atakaye ajiriwa mwaka huu wa 2020, mshahara wao utafanana? Uonevu wa kijinga kabisa! Muwe mnamuelimisha huyo mtu wenu. Anazingua.
Unamuelewesha mtu anayeishi kwa kutegemea posho ya kampeni u adhani atakuelewa?Kama hela haijaingia kwenye basic salary yako basi hujasaidiwa lolote.
Kiasi cha basic salary kina maana sana mpaka kwenye pension.
Kama kazi yako ni kutetea basi endelea kutetea tu
Akikujibu niiteSasa hawajapandishiwa Miaka Mi5 wanafunzi wanakaa kwenye madawati?
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Ni takataka kweli,miaka mitano hakuna ongezeko la mshahara!!!Twende nae wapi wakati amewaita takataka
"Maendeleo hayana vyama"Kwahiyo hajapandisha mishahara!Sasa mbona hapo anasema amepandisha mishahara???
Kama sielewi vile!
Tatizo lilokuwepo na bado lipo ni uongozi, utendaji, uwajibikaji.Akikujibu niite